Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,645
- 155,016
Haya maisha tunayoishi leo nadhani yangekuwa matamu zaidi enzi za barua za kuandika kwa mkono na kisha kuzituma kwa posta.
Facebook sijui ingekuwaje?
Jf ingedhibitiwa na skrining ya shirika la posta.
Barua zote zenye kueleza uozo wa serikali bila shaka zingegongwa muhuri RTS return to sender
Facebook sijui ingekuwaje?
Jf ingedhibitiwa na skrining ya shirika la posta.
Barua zote zenye kueleza uozo wa serikali bila shaka zingegongwa muhuri RTS return to sender