Inanisikitisha kuona wana jf tunavyoogopana hivi nikwa nini??kwanini wengi wetu hatupendi kukutana??tatizo nini??kwakuwa tumekuwa wasanii kwa sana au zaidi ya hapo??
we umetumwa!Inanisikitisha kuona wana jf tunavyoogopana hivi nikwa nini??kwanini wengi wetu hatupendi kukutana??tatizo nini??kwakuwa tumekuwa wasanii kwa sana au zaidi ya hapo??
Ahaa ahaaa Mpevu unaogopa kukabwaTatizo ni USALAMA, hilo tu.
Inanisikitisha kuona wana jf tunavyoogopana hivi nikwa nini??kwanini wengi wetu hatupendi kukutana??tatizo nini??kwakuwa tumekuwa wasanii kwa sana au zaidi ya hapo??
Wengne ni waume/wake zetu tukijuana utamu wa jukwaa utapungua we kama wataka kujuana nenda tu facebook
Haha kama upo mpwapwa ukija DOM nitafte plzMi nataka kukutana na wewe.
Naomba uje huku mpwapwa nilipo.
Inanisikitisha kuona wana jf tunavyoogopana hivi nikwa nini??kwanini wengi wetu hatupendi kukutana??tatizo nini??kwakuwa tumekuwa wasanii kwa sana au zaidi ya hapo??
Haha kama upo mpwapwa ukija DOM nitafte plz
Aisee Preta ile bata tuliyokula Arusha ilikuwa si mchezoumesema unakuja Yaeda nikaacha kukupokea?.....au unatutafuta maneno tu hapa.....unaona alivyosema The Finest hapo juu?....basi kukujulisha tu siku hiyo tulisakata rhumba mpaka kukakucha....mapicha motomoto tulipiga.....usitake kunifanya nikuelezee yote yaliyojiri siku hiyo....we njoo
Kwa wana JF tuliofunga safari kutoka Dar kwenda kuonana na wana JF wa Arusha last year December it was a good experince to me i met friends there na wamenisaidia katika mambo mengi