poleni wa Tz wenzangu kwa kuwa na mioyo inayobubujika machozi ya shida za maisha Tz! tupilia kule, ingia JF furahia maisha, na kama vp washitue na wengine. to the point now.... Hapa Jf kuna watalaam wengi sana naomba mnisaidie software itakayozuia m2 anayekusumbua kwenye cm asikupate. Pia natoa ombi kama unayo software yoyote na unajua ni UNIQUE pls weka hapa ili kuongezea maujuzi Great thinkers wa JF. karibuni jamani.