Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 8,319
- 16,487
Hem wasikieni hawa wabishi:
Kongosho: siku 1 nlimpigia simu mume/mke wangu akapokea lkn hakusema halow na mi nkauchuna hadi credit zikaisha.
Excellent: wee cha mtt tu hio, mi kuna day 1 nlirudi home nit. Nkagonga mlango mke wangu akanifungulia lkn hakusema karibu mume wangu nkasimama
mlangoni mpk asubuhi then huyoo nkenda zangu job.
Mwita25: mi tulivooana na my wife wangu alikua anaona haya kunigusa na mi sijamgusa na mpk leo hatugusani. Wenzie wakadakia, 'Wacha usanii, nyinyi si mna wtt wawili lkn' akawajibu 'na hao watoto sijamuuliza kawaokota wapi!
Nani zaidi?
Kongosho: siku 1 nlimpigia simu mume/mke wangu akapokea lkn hakusema halow na mi nkauchuna hadi credit zikaisha.
Excellent: wee cha mtt tu hio, mi kuna day 1 nlirudi home nit. Nkagonga mlango mke wangu akanifungulia lkn hakusema karibu mume wangu nkasimama
mlangoni mpk asubuhi then huyoo nkenda zangu job.
Mwita25: mi tulivooana na my wife wangu alikua anaona haya kunigusa na mi sijamgusa na mpk leo hatugusani. Wenzie wakadakia, 'Wacha usanii, nyinyi si mna wtt wawili lkn' akawajibu 'na hao watoto sijamuuliza kawaokota wapi!
Nani zaidi?