BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
- Thread starter
- #41
si itakuwa balaa unatimba ofisin unakuta mheshimiwa kavaa t shirt na wewe pia umevaa na hujui username yake jf nae hajui yako kumbe daily huwa unaponda thread zake jf si ndo pakuulizana hapo kumbe na wewe upo huku vip bana hebu ntajie username yako.
yani ndio itakuwa mukide sasa...kujua tu kua huyu ni member ila jina...kapuni...labda umbambe akiwa anajijeifu...