Hahaha hahaha hahaha ndio ivo,
Najua kwa namna ulivoipania unaweza ukawa unaivaa badala ya vest unatinga T.shet ya JF then shati juu ukitoka job unaeka shati kwenye mfuko wa rambo unadunda na Tshet hahahhhaha!
Watakukomaje!!
Hahahahahaaa poa ngoja tuendelee kukomaaile kifaa wewe...siwezi kuikatia tamaa...
hahahahahaaa poa ngoja tuendelee kukomaa
mbona karibu yako sijaiona au nisikaribie kwenu? Angalia jukwaani hapo
Wazo zuri sana shem wangu,
Zile za mwanzo hata mie niligaiwagwa siku hizo hata cjui jf basi nikaitunza tu
Tangu nimeijua JF naivaaje yan wiki end lzm nilipuke nayo nikiwa kwenye mishe mishe zangu za kukusanya mazaga zaga kkoo!
Nikiona mtu kanikazia jicho najua tu huyo ni memba nampachika ID za watu wa humu!
Hhahah hahah hahah,A'haaa sasa nimeshagundua kitu!
Basi mie USHANIKAZIA MACHO saana! Na USHANIPACHIKIA kwa mnoo!
Ole wako nije nivimbe chini ya kifua !
Namie student! Mahakama ndy itaamua!
Karibuuuuuuuuuuuuuuuuu
Hhahah hahah hahah,
Na usikute nilishakupa id ya watu wasiojulikana ni ME/SHE ahahaahah!
Km ni student sio ishu ungekuwa pupil hapo ningeogopa jela lol!
SS wewe sio wakunifanyia ivo ww!...
Wazo zuri ila nina angalizo. Mtandao huu unawanyima usingizi wanamagamba na hawaupendi kabisa kwa jinsi tunavyoponda sera zao na kulaani ubabe wao. Halafu tena eti unavaa t-shirt ya JF na kutembea kifua mbele! Askari wa magamba watakuacha utembee kwa raha zako kweli? Hawatasita kukusimamisha na kuuliza yale maswali yao ya ajabuajabu wakianza na:'Wewe ndo chamii folam?'
Wala usitishike. Ziliwahi kutengezwa mika michache iliyopita, na bado naona baadhi wanazo. Mkumbushe Maxence Melo kuhusu hilo, atakupa jibu. Mie navaa mojawapo, ingawa sio oficial T shirt.