JF Standup comic special thread

NGULI

JF-Expert Member
Mar 31, 2008
4,805
637
Stand-up comedy is a style of comedy where the performer speaks directly to the audience/ila hapa itakuwa JF Members/guests, with the absence of the theatrical "fourth wall"

"A comic says funny things; a comedian says things funny," which draws a distinction between how much of the comedy can be attributed to verbal content and how much to acting and persona.

Haina limitation unaweza kumtania mtu yeyote humu jamvini au hata nje ya jamvi.

Kwa mfano...

Invisible ni kijana aliyefanikiwa kibiashara akaanzisha duka kubwa pale mlimani city linaitwa JF kofuli original za mitumba shop. Ila wafanyakazi wake walikuwa wanamwibia sana akatumia mbinu zote za kufunga kamera za kisasa lakini bado watu wakawa wanaiba kama kawa. Akaweka walinzi maalumu na wenye vifaa ya kisasa kama marungu na kofia na suti za kijani/askari/mgambo wa jiji milango mikubwa bado uizi ukazidi.Akawa anawasachi kwa kuwavua nguo na kucheki wakati wa kuondoka kama wamevaa kofuli zaidi ya moja lakini wapi wote wako safi na wamevaa kofuli 1 tu.

Siku moja akaota ndoto kwa nini nisiwacheki/kuwakagua kabla hawajaingia ndani kuanza kazi ile asubuhi na mapema? ndio akagundua huwa wafanyakazi wote 50 hwajavaa makofuli wote na ndiko akagundua ahaaa

tuendeleee
 
Stand-up comedy is a style of comedy where the performer speaks directly to the audience/ila hapa itakuwa JF Members/guests, with the absence of the theatrical "fourth wall"

"A comic says funny things; a comedian says things funny," which draws a distinction between how much of the comedy can be attributed to verbal content and how much to acting and persona.

Haina limitation unaweza kumtania mtu yeyote humu jamvini au hata nje ya jamvi.

Kwa mfano...

Invisible ni kijana aliyefanikiwa kibiashara akaanzisha duka kubwa pale mlimani city linaitwa JF kofuli original za mitumba shop. Ila wafanyakazi wake walikuwa wanamwibia sana akatumia mbinu zote za kufunga kamera za kisasa lakini bado watu wakawa wanaiba kama kawa. Akaweka walinzi maalumu na wenye vifaa ya kisasa kama marungu na kofia na suti za kijani/askari/mgambo wa jiji milango mikubwa bado uizi ukazidi.Akawa anawasachi kwa kuwavua nguo na kucheki wakati wa kuondoka kama wamevaa kofuli zaidi ya moja lakini wapi wote wako safi na wamevaa kofuli 1 tu.

Siku moja akaota ndoto kwa nini nisiwacheki/kuwakagua kabla hawajaingia ndani kuanza kazi ile asubuhi na mapema? ndio akagundua huwa wafanyakazi wote 50 hwajavaa makofuli wote na ndiko akagundua ahaaa

tuendeleee

Nguli,

Nimecheka sana. Nimejaribu kutafuta nikakosa kabisa, kweli ubloomer kazi kweli kweli.
 
Nguli,

Nimecheka sana. Nimejaribu kutafuta nikakosa kabisa, kweli ubloomer kazi kweli kweli.

Umekosaje au umesahua? ngoja nikukumbushe kichekesho kimoja alichokitoa baba yako kule UK unakumbuka siku ile lile tangazo la mtu yeyote anaeishi UK mwenye watoto 10 atapewa milioni 400 za kitanzania alivyoreact?

Alikuwa na watoto 9 ikabdi aende pale Kitumbure Bar/Pub kwa yule mwanamke aliyezaaa nae akamchukue yule wa nje amlete wawe 10 ili ashinde kitita cha mamilion ya shilingi laikini alivyorudi home akakuta na mama Mahai amechukuwa wale 9 amewapeleka kwa bilogical father wao? kwa hio mzee Mahai akabakia na mtoto 1 tu na ndoto yake ya umilionea ikayeyuka umekumbuka sasa????
 
Waungwana

Nimesoma sana post za hili jukwaa la mapenzi kiasi kwamba napata kwamba ni rahisi sana kwa wanajamvi kufikia hisia za mapenzi!!!

Yaani jana wakati napitia thread humu, i definitely felt emotionally to Mwanadada mmoja simply kwa kuangalia post zake na hoja za nguvu na avatar yake

Na hii inakuwa very relevant hasa pale ambapo mtu una matatizo yako home au shule au job

DO you feel the same way??

Hii nayo kali ilitakiwa ihamishiwe kwenye hii thread hapa great thinker anelezea deepest feeling kwa avatar na maandishi. Akikaribishwa kwenye ile parade inayopigwagwa kule Swasland wakati Mswati anatafuta Mke wa 20 hachelewi kubaka huyu great thinker.
 
Umekosaje au umesahua? ngoja nikukumbushe kichekesho kimoja alichokitoa baba yako kule UK unakumbuka siku ile lile tangazo la mtu yeyote anaeishi UK mwenye watoto 10 atapewa milioni 400 za kitanzania alivyoreact?

Alikuwa na watoto 9 ikabdi aende pale Kitumbure Bar/Pub kwa yule mwanamke aliyezaaa nae akamchukue yule wa nje amlete wawe 10 ili ashinde kitita cha mamilion ya shilingi laikini alivyorudi home akakuta na mama Mahai amechukuwa wale 9 amewapeleka kwa bilogical father wao? kwa hio mzee Mahai akabakia na mtoto 1 tu na ndoto yake ya umilionea ikayeyuka umekumbuka sasa????
yaani hapo mmmh umefikiri mno! kweli we unaweza kuwa ze great na sio kanumba!
 
Umekosaje au umesahua? ngoja nikukumbushe kichekesho kimoja alichokitoa baba yako kule UK unakumbuka siku ile lile tangazo la mtu yeyote anaeishi UK mwenye watoto 10 atapewa milioni 400 za kitanzania alivyoreact?

Alikuwa na watoto 9 ikabdi aende pale Kitumbure Bar/Pub kwa yule mwanamke aliyezaaa nae akamchukue yule wa nje amlete wawe 10 ili ashinde kitita cha mamilion ya shilingi laikini alivyorudi home akakuta na mama Mahai amechukuwa wale 9 amewapeleka kwa bilogical father wao? kwa hio mzee Mahai akabakia na mtoto 1 tu na ndoto yake ya umilionea ikayeyuka umekumbuka sasa????

Hahahaaa kweli umenikumbusha mbali sana. Unakumbuka kipindi kile unafanya kazi ya uplumber na unaendesha truck nyeusi wakati bujibuji ni electrician na dani ni surgeon? Truck yako uliandika kwa nyuma "dont sleep with a drip call your plumber" na bujibuji truck yake akaandika "let us remove your shorts" na dani pale kwenye mlango wake ofisini idara ya upasuaji akaandika "hello, can we pick your nose"!!
 
Sasa wewe nguli,
Nasikia kwamba mama akipika ugali waga huli...teh teh...unasingizia eti munkali wako unapanda sana ukipikiwa wali au biriani! Haya, mama kachemka kupika ila kuna mtu humu jamvini ni mfundaji wa wake za watu kwani hata 'wali' anajua kupika vizuri. Hicho kiburi chako sio kizuri na hakina thamani mkuu, acha kutumia msuli, kumbuka umasikini jeuri sio siri...

*** Nguli, umeiona hiyo, vipi hapo nimepatia?
 
Sasa wewe nguli,
Nasikia kwamba mama akipika ugali waga huli...teh teh...unasingizia eti munkali wako unapanda sana ukipikiwa wali au biriani! Haya, mama kachemka kupika ila kuna mtu humu jamvini ni mfundaji wa wake za watu kwani hata 'wali' anajua kupika vizuri. Hicho kiburi chako sio kizuri na hakina thamani mkuu, acha kutumia msuli, kumbuka umasikini jeuri sio siri...

*** Nguli, umeiona hiyo, vipi hapo nimepatia?

Samahani nilikuwa bize nikashindwa kukujibu maswali yako hivi ulipata majibu? nakumbuka uliniuliza ungependa kuwa toilet paper nikashtuka sana nikakwambia bora uwe mswaki hivi mpaka sasa umeamua lipi kuwa mswaki hata wa mti kijijini au kuwa toilet paper? tafadhali nasubiri jibu ili tuendelee na thread.
 
Samahani nilikuwa bize nikashindwa kukujibu maswali yako hivi ulipata majibu? nakumbuka uliniuliza ungependa kuwa toilet paper nikashtuka sana nikakwambia bora uwe mswaki hivi mpaka sasa umeamua lipi kuwa mswaki hata wa mti kijijini au kuwa toilet paper? tafadhali nasubiri jibu ili tuendelee na thread.
hahahahahaha....mmmh...
umenikumbusha kitu Nguli...
Kuna jamaa yangu alikuwa na dem sasa walikuja kugombana na dem akamwita msela eti anamganda kama inzi...dah jamaa aliumia sana. dem alianza kutembea na msela mwingine. basi jamaa yangu alibwaga manyanga kwa style kali sana!
alimwandikia barua chafu na kusema asante kwa kuwa haunitaki tena mimi niliye inzi kwako sasa nakuandikia barua hii wewe kinyesi usiyetaka kufatwafatwa!!! jamaa aliandika barua katika tissue paper ya pink...'what a shame'....demu alifungua barua mbele za shoga zake, mbona alitia akili....
 
hahahahahaha....mmmh...
umenikumbusha kitu Nguli...
Kuna jamaa yangu alikuwa na dem sasa walikuja kugombana na dem akamwita msela eti anamganda kama inzi...dah jamaa aliumia sana. dem alianza kutembea na msela mwingine. basi jamaa yangu alibwaga manyanga kwa style kali sana!
alimwandikia barua chafu na kusema asante kwa kuwa haunitaki tena mimi niliye inzi kwako sasa nakuandikia barua hii wewe kinyesi usiyetaka kufatwafatwa!!! jamaa aliandika barua katika tissue paper ya pink...'what a shame'....demu alifungua barua mbele za shoga zake, mbona alitia akili....

Ha ha ha walikuwa 4m 2 au maana ndio za watoto watu wazima wanaachana kimya kimya. Nimecheka sana.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom