NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,805
- 637
Stand-up comedy is a style of comedy where the performer speaks directly to the audience/ila hapa itakuwa JF Members/guests, with the absence of the theatrical "fourth wall"
"A comic says funny things; a comedian says things funny," which draws a distinction between how much of the comedy can be attributed to verbal content and how much to acting and persona.
Haina limitation unaweza kumtania mtu yeyote humu jamvini au hata nje ya jamvi.
Kwa mfano...
Invisible ni kijana aliyefanikiwa kibiashara akaanzisha duka kubwa pale mlimani city linaitwa JF kofuli original za mitumba shop. Ila wafanyakazi wake walikuwa wanamwibia sana akatumia mbinu zote za kufunga kamera za kisasa lakini bado watu wakawa wanaiba kama kawa. Akaweka walinzi maalumu na wenye vifaa ya kisasa kama marungu na kofia na suti za kijani/askari/mgambo wa jiji milango mikubwa bado uizi ukazidi.Akawa anawasachi kwa kuwavua nguo na kucheki wakati wa kuondoka kama wamevaa kofuli zaidi ya moja lakini wapi wote wako safi na wamevaa kofuli 1 tu.
Siku moja akaota ndoto kwa nini nisiwacheki/kuwakagua kabla hawajaingia ndani kuanza kazi ile asubuhi na mapema? ndio akagundua huwa wafanyakazi wote 50 hwajavaa makofuli wote na ndiko akagundua ahaaa
tuendeleee
"A comic says funny things; a comedian says things funny," which draws a distinction between how much of the comedy can be attributed to verbal content and how much to acting and persona.
Haina limitation unaweza kumtania mtu yeyote humu jamvini au hata nje ya jamvi.
Kwa mfano...
Invisible ni kijana aliyefanikiwa kibiashara akaanzisha duka kubwa pale mlimani city linaitwa JF kofuli original za mitumba shop. Ila wafanyakazi wake walikuwa wanamwibia sana akatumia mbinu zote za kufunga kamera za kisasa lakini bado watu wakawa wanaiba kama kawa. Akaweka walinzi maalumu na wenye vifaa ya kisasa kama marungu na kofia na suti za kijani/askari/mgambo wa jiji milango mikubwa bado uizi ukazidi.Akawa anawasachi kwa kuwavua nguo na kucheki wakati wa kuondoka kama wamevaa kofuli zaidi ya moja lakini wapi wote wako safi na wamevaa kofuli 1 tu.
Siku moja akaota ndoto kwa nini nisiwacheki/kuwakagua kabla hawajaingia ndani kuanza kazi ile asubuhi na mapema? ndio akagundua huwa wafanyakazi wote 50 hwajavaa makofuli wote na ndiko akagundua ahaaa
tuendeleee