Na zaidi ya hayo. Mwanamke ulivokuwa tapeli prodakti lazima itasema ilishawahi kupigana vita vya majimaji kabla mama yake hajazaliwa lolProduct ya hapo, lazima iombe kuleta mvua kutoka Malaysia na watanzania waamini.
Na zaidi ya hayo. Mwanamke ulivokuwa tapeli prodakti lazima itasema ilishawahi kupigana vita vya majimaji kabla mama yake hajazaliwa lol
Cantalisia na Rejao mko wapi? Kuna mtu kaleta umbea hapa,au ni ya kweli,na kama ni kweli where does it put Smile?
Hahahahahaha!Ha ha ah aha, nitake radhi, mie tapelinkama bepari la kihaya mie?
Ndio maana nakupenda sana my swt Cantalisia...Wiki moja tu hane muni, kitu kimenasa, tofautu na Asprin nashangaa ana warembo kibao humu....but sijawahi kusikia hata mmoja akisema kuwa ana :mimba: yake.
Love u Rejao Darling,Ndio maana nakupenda sana my swt Cantalisia...Wiki moja tu hane muni, kitu kimenasa, tofautu na Asprin nashangaa ana warembo kibao humu....but sijawahi kusikia hata mmoja akisema kuwa ana :mimba: yake.
We Rejao acha longolongo. Mi si mtu wa kujilipua kama wewe.... Mimba zote nimezihifadhi kwenye kondom, siku wakihitaji nawamiminia......:loco:Ndio maana nakupenda sana my swt Cantalisia...Wiki moja tu hane muni, kitu kimenasa, tofautu na Asprin nashangaa ana warembo kibao humu....but sijawahi kusikia hata mmoja akisema kuwa ana :mimba: yake.
Mi namshangaa sana huyo basha wako, sori kumbe mmeo asiyetoa mahari?
FirstLady1 we bado tu hujatoa tundi?Duh kumbe wapo walioishapeana tunda mmmh kazi kweli kweli...:A S 465:
Mjukuu mkubwa ana ki:mimba: cha Moskwito. Afu nilijua we bonge la mjanja... ile nyumba ya urithi nimemweka pale kwa muda. Subiri ndugu zangu warudi toka Mererani uone watakavyomkurupua.
Afu hii ndoa yetu Bestman akiwa Bishanga, nani atakuwa matron wako? Nimechoka kusubiri.
Haah hahah hahah,Mi namshangaa sana huyo basha wako, sori kumbe mmeo asiyetoa mahari?
Eti mjukuu mtoro, hivi vibinti arobaini na ushee navyovikagua navyo unaweza kuviita "kibao"?
Duh kumbe wapo walioishapeana tunda mmmh kazi kweli kweli...:A S 465:
Rejao wewe ushawahi kupewa?FirstLady1 we bado tu hujatoa tundi?
dah hapo umegusa penyewe.!!! usisahau mimi na nanii..
Danganya toto wewe! Ngastuka!Kumbe unamega kwa ndom...nimeshajua kwanini kila siku unakimbiwa!! Basi wewe hujui raha ya ile mambo!!