teh teh teh. Sante Exy. yako not too bad pia.
Aisee... Erotica we kweli Kiboko. And how does Super Moderator sound?
mbona ilikuwa siri lakiniKwani Husyn alikuwa kamuoa na huyu!
Kweli lile lilikuwa jembe, lilioa na kuolewa?
Kumbe mjane kwa Husy? bora umenihabarisha, kidonda bado kibichi.
Basi mi nilikuwa naye shingo upande ili hayo mahela yake niyazoe na kupeleka kwingine........hujasikia sasa hivi kafilisika?Huyu Excellent mbona ndo alikuwa anafua na kupiga deki! Husn ana mahela yanamtia kiburi! Huoni alianzisha saccos wateja wakaingia mtini?
Huyu Excellent mbona ndo alikuwa anafua na kupiga deki! Husn ana mahela yanamtia kiburi! Huoni alianzisha saccos wateja wakaingia mtini?
Yeyiiiiiii. Cheo kimepanda. :msela:
Marafiki na Wapenzi wote, Karibuni tusherehekee.
Mwaaaah.
najihisi kama umenipulizia upepo mwanana uliochanganyika na marashi
Safi sana. Jana kwenye ile thread ya Husninyo niliandaa maandamano kwenda ofisi za JF kudai kurudishwa kwa status ya JF Senior Expert Member baada ya kuondolewa kiana. Leo tuliandamana na akina sweetlady na wamekubali kuirudisha. Unajua ile status ya "Senior Member" bana unaweza ukadhaniwa ni kibabu fulani hivi. lol. Ila Erotica ulisepa kwa kuogopa washawasha la Invisible. Halafu nilikuwa na usongo wa kumfanyia mod RussianRoulette bahati yake akasepa.
JF Senior Expert Members powerrrrrrrrrrrr. lol
Safi sana. Jana kwenye ile thread ya Husninyo niliandaa maandamano kwenda ofisi za JF kudai kurudishwa kwa status ya JF Senior Expert Member baada ya kuondolewa kiana. Leo tuliandamana na akina sweetlady na wamekubali kuirudisha. Unajua ile status ya "Senior Member" bana unaweza ukadhaniwa ni kibabu fulani hivi. lol. Ila Erotica ulisepa kwa kuogopa washawasha la Invisible. Halafu nilikuwa na usongo wa kumfanyia mod RussianRoulette bahati yake akasepa.
JF Senior Expert Members powerrrrrrrrrrrr. lol
nilikuwa namtania tu,ila sasa nikirudi ndani hakuna hata feniHizi ndo salamu jamani? Kwenye eda hutakiwi hata kuangalia wanawake machoni baba. Hebu rudi uani, chezeiya kibuti?
nimeyapenda sana,mbona utanifanya nisaliti aiseeUnajihisi kwa sababu ni kweli nimekupulizia. teh teh teh, umeyapenda?