Tanzania 1
Senior Member
- Oct 4, 2007
- 197
- 24
Duuh, SteveD! Umeshafika India! Au ni "Around the World in 365 days"? Au uko kule India-na?
Basi, "Namaske" -- waulize wahindi waliokuzunguka.
Basi, "Namaske" -- waulize wahindi waliokuzunguka.
Duuh, SteveD! Umeshafika India! Au ni "Around the World in 365 days"? Au uko kule India-na?
Basi, "Namaske" -- waulize wahindi waliokuzunguka.
T-1, nimesharejea mkuu... bado tu sijabadili location hapojuu kwenye profile nitafanya baadae.
"Namaste mkulu wangu" na zawadi yako toka huko hii hapa mshirika:
Ni figurine iliyotengenezwa kwa dhahabu.
Asante sana admin.
Napendekeza maelezo haya yatafsiriwe kwa kiswahili,nami nipate nakala tafadhali.
Mwiba mkuu, kuanzia title ya thread mpaka yaliyomo sijaelewa.. Unamaanisha nini?
Pemba wana bendera ya rangi gani?
Yaani kuna mistali miwili ule wa langi ya manjano na mwingine langi ya kijani sijui kunamaanishwa uccm au uyanga ,afu kuna zile dralf za squire viko kwa upande wa kulia ,halafu kuna vikolombwezo kibau sasa nashindwa kuelewa hata maana ya hii mistali imewekwa na naona mwisho hata webu itakuwa nzito kujidownload na kwa sisi wa huku mikoani tunaotumia copper cables tutakuwa na matatizo ya kusubili ,mi hapa Ngorongoro kwenye hoteli ya utalii nikifanya kazi ya kubuku wageni kwa mtandao nimeanza kuona uzito wa hii webu ya JF na kugundua kuwa kuna vikolombwezo vimeongezwa na nikaona kuwa mambo yameanza kuwa mengi nikakumbuka ile mesali ya kiswahili inayosema kuchamba kwengi mwisho wake utaondoka na mavi sasa naona hapa JF mambo yanazidi tu.
Yaani kuna mistali miwili ule wa langi ya manjano na mwingine langi ya kijani sijui kunamaanishwa uccm au uyanga ,afu kuna zile dralf za squire viko kwa upande wa kulia ,halafu kuna vikolombwezo kibau sasa nashindwa kuelewa hata maana ya hii mistali imewekwa na naona mwisho hata webu itakuwa nzito kujidownload na kwa sisi wa huku mikoani tunaotumia copper cables tutakuwa na matatizo ya kusubili ,mi hapa Ngorongoro kwenye hoteli ya utalii nikifanya kazi ya kubuku wageni kwa mtandao nimeanza kuona uzito wa hii webu ya JF na kugundua kuwa kuna vikolombwezo vimeongezwa na nikaona kuwa mambo yameanza kuwa mengi nikakumbuka ile mesali ya kiswahili inayosema kuchamba kwengi mwisho wake utaondoka na mavi sasa naona hapa JF mambo yanazidi tu.
Ile option ya credits iliyokuwepo ilizidi kudanganya, tumetambulisha feature mpya.
Jaribu kubonyeza username yoyote ya mtu aliye online kwa wakati huu au hata yako mwenyewe utaona changes.
Aidha hii itakuwa ni mpya na endelevu!
Yaani kuna mistali miwili ule wa langi ya manjano na mwingine langi ya kijani sijui kunamaanishwa uccm au uyanga ,afu kuna zile dralf za squire viko kwa upande wa kulia ,halafu kuna vikolombwezo kibau sasa nashindwa kuelewa hata maana ya hii mistali imewekwa na naona mwisho hata webu itakuwa nzito kujidownload na kwa sisi wa huku mikoani tunaotumia copper cables tutakuwa na matatizo ya kusubili ,mi hapa Ngorongoro kwenye hoteli ya utalii nikifanya kazi ya kubuku wageni kwa mtandao nimeanza kuona uzito wa hii webu ya JF na kugundua kuwa kuna vikolombwezo vimeongezwa na nikaona kuwa mambo yameanza kuwa mengi nikakumbuka ile mesali ya kiswahili inayosema kuchamba kwengi mwisho wake utaondoka na mavi sasa naona hapa JF mambo yanazidi tu.
BelindaJacob
BelindaJacob is proactive
JF Premium Member
Join Date: Mon Nov 2008
Location: BelindaJacob
Posts: 1,079
Thanks: 349
Thanked 409 Times in 273 Posts
Rep Power: 23
Re: Wakuu JF Mnachamba sana !!
Hebu nieleze maana ya Bellinda jacob is proactive -Inakuwepo kwa maana gani.
JF Premium Member inamaana gani.
Hiyo mistali ya langi mbili ina maana gani .
Rep Power ina maana gani .
Vile vidude vya kijani navyo vina maana gani ?
Natumai kuuliza si ujinga ?
Unajua kuna watu hapa wanatuzalau kwa kuwa hivyo vitu havijatimia kwetu sisi walala hoi sasa naona kila siku navyo vinazidi kama unavyozidi ufisadi.Yaani ni kama kuna mtu hana la kufanya na inakuwa kuchokonoa chokonoa tu mwisho atakuja kuhalibu kila kitu ,ndio maana yake ,ila nieleze maana hizo ambazo nimezidai kwani naludia tena kuuliza si ujinga ?
Kupanda ngazi?Bado binafsi zijaelewa vizuri kwenye kupanda ngazi.