Nakuunga mkono kamanda.Kuna member alisema kuwa atakuja RA nae atapewa maandishi ya kijani.Sidhani kama kuna umuhimu wa member kuchangia JF na kuonekana au kujulikana.Jamani naomba tusibaguwane kwa pesa humu ndani, ranking ziende kama zilivyo na isiwepo hata hiyo premium. kwani SI KILA atowaye ataka ajulikane kama katowa. Mtu kama katowa, katowa tuu, si kwa kujulikana, na ambae hana asidhalilishwe kwa kupewa karangi au kacheo cha kumfanya ajione inferior. Ranking ziwe za uchangiaji wa posts tuu.
Itafikia kipindi wale watakaotoa kiwango fulani hapa watakuwa na room yao ya kukata ishu.
Ni maoni yangu tu