Maxence Melo
JF Founder
- Feb 10, 2006
- 4,230
- 13,415
- Thread starter
- #41
Hilo litazingatiwa mkuu. Shukranijoining date ingeonyesha na tarehe siyo siku tu.
Hilo litazingatiwa mkuu. Shukranijoining date ingeonyesha na tarehe siyo siku tu.
Mkuu, JF Store ni biashara nyingine hiyo. Habari za uchunguzi na ambazo ni recommended usome kwa manufaa yako zinapatikana Jamii Intelligence - Jamii IntelligenceNapendekeza kuwepo jukwaa ambapo watu wanaweza kupata taarifa za kiutafiti,uchunguzi ,za siri nk zilizodhibitishwa au JF sTORE iboreshwe kwani ,HII Jf Store ya sasa haina jipya.
Byabato
Well, hatukujua ina umuhimu (Status messages like FaceBook?) basi tutarejesha mkuuMwanzoni kabla ya changes hizi zote eneo la avatar ya mtu kulikuwa na option ya kuweka kitu kama signature...lakini yenyewe ikiwa kama maneno fulani tu anavyopenda kujiita mhusika!/...
Mfano:
PAKAJIMMY is a SILENT OBSERVER!...
Iko wapi hii wakuu?
Jifunze na jizoeze udadisi.
Wakuu,
Dakika chache zijazo tutaibadilisha JF mwonekano, bado kuna vitu vichache vya kumalizia ambavyo tutaviweka w/end hii...
Sasa basi, tungependa kupata maoni yenu juu ya nini mnaona kinafaa kuongezwa na kipi kirekebishwe.
Logo itabadilika, miziki itaongezwa na chat inafanyiwa marekebisho ya mwisho, stats (missing) zitarekebishwa.
Tunatumaini mtatujuza kwa kuandika hapa ama kwa njia ya barua pepe: support@jamiiforums.com
mpwa Msa bado yuko HIja? lolz muonekano mpya Free Masa....Inapendeza hasa ukiingia jukwaa la kule chini picha zinaonekana vizuriAtakapo toka jela mpwa Masanilo atakuta JF ina mwonekano mpyaaa na atakuja na mawazo mapyaaa
Hongera Max kwa kazi nzito binafsi nimeipenda