Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,948
- 32,205
Acha mchezo na vitu vya watu haviguswi shauri yako!
Mwambie ulikonitoa na kiasi cha Mahari ulicholipa,
labda ataacha kukusakama.
Acha mchezo na vitu vya watu haviguswi shauri yako!
imenisadia kumchuna Bishanga hadi nimenunua nyumba Mbezi Beach
Mtu Chake wewe,
we mbona nanilii kakugeuza Vocha,
anakukwangua kila kukicha na hatusemi?
Au ndo yaleyale Akisafiri Mwarabu kaenda Dubai,
Akisafiri Mzaramo kenda Ngomani.
Mwache Pedeshee langu ajinafasi,Mtoto wa Dsm,
Mtoto Handsome,
Nakati ya CityCentre.
Hakuzaliwa kwa bahati mbaya na wala haishi kwa Makusudi.
Horyaaaaa...!!!
Msiri wangu St Paka,hebu kalale,kha!!!
Mwambie ulikonitoa na kiasi cha Mahari ulicholipa,
labda ataacha kukusakama.
Mwambie mpaka mtakatifu achoke kufanya siri,sijui itakuwa mwaka gani..??
Ninaye tu mwaka huu.......
Unajua sikuelewi?
Au unamfanyia ukuwadi sehemu?
Na nikigundua,
utakuwa St. Paka Mweupe.
Heheheeeeeeeeeeeee,haloooooooooooooooooooooo............
Mtu Chake wewe,
we mbona nanilii kakugeuza Vocha,
anakukwangua kila kukicha na hatusemi?
Au ndo yaleyale Akisafiri Mwarabu kaenda Dubai,
Akisafiri Mzaramo kenda Ngomani.
Mwache Pedeshee langu ajinafasi,Mtoto wa Dsm,
Mtoto Handsome,
Nakati ya CityCentre.
Hakuzaliwa kwa bahati mbaya na wala haishi kwa Makusudi.
Horyaaaaa...!!!
Msiri wangu St Paka,hebu kalale,kha!!!
loj.....
Mwanamke una balaa wewe....
Yaani ikija ile adhabu ya kuchakachua, sijui nani atapona! Nitahamia zangu blogu ya le mutuz nijifunze style za kuvaa nitoke vipi! Hapa sijui pia nimechakachua?
Wana Chit Chat, PM humu Jamvini ni nyenzo muhimu kwa matumizi mbalimbali! Leo napenda kupata ushuhuda je PM imekusaidia katika lipi? Kuna wengine wameshaweza ku-exchange phone numbers, e-mail na hata kuonana face to face kwa msaada wa PM! Kuna wengine kama Bishanga aligonganisha magari through PM, wengine ni couples sasa kwa msaada wa PM! Binafsi, sina something tangible cha kushuhudia, je wewe? Hebu tiririka hapa!
Unataka kuniambia kuwa atasubmit funguo bila kupenda?
Ngoma draw! Umechuna na wewe kwako amefaudu mauroda!
Hukuipata bure bibie!
Umeifanyia kazi . Kanuni za "earning income" zasema always Debtor goes with Creditor!