mkibunga
Senior Member
- Nov 17, 2010
- 196
- 25
HERI MBUNGE WANGU ANAYETOLEWA BUNGENI KWA KUTETEA MASLAHI YA TAIFA KULIKO WA KWAKO ANAYESINZIA BUNGENI KAMA wasira, samwel sitta , ANAYETAPIKA kama mrema na KUSUBIRI POSHO ZAO;
"JK NI CHAGUO LA MUNGU" Maana yake Mwenyezi Mungu kwa makusudi kabisa alimuacha JK achakachue apate kuwa rais ili aimalizie CCM kabisa na hatimaye Tanzania ipate Ukombozi. Ama kweli mwacheni Mungu aitwe Mungu. Kifo cha CCM 2015 ni mpango wa Mungu.
NAOMBA KUWASILISHA
"JK NI CHAGUO LA MUNGU" Maana yake Mwenyezi Mungu kwa makusudi kabisa alimuacha JK achakachue apate kuwa rais ili aimalizie CCM kabisa na hatimaye Tanzania ipate Ukombozi. Ama kweli mwacheni Mungu aitwe Mungu. Kifo cha CCM 2015 ni mpango wa Mungu.
NAOMBA KUWASILISHA