1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 603
Ingawa sijuhi utendaji wako,ila kwa kua umeonyesha nia ya kujiamini na kutaka kusimamia mawazo yako kwa manufaa ya taifa letu nakutakia kila la kheri mkuu,kua wewe mtoto wa aliyekua kiongozi fulani wa nchi hakukunyimi haki yako ya kupigania vitu fulani kwa interest ya taifa letu,as longer as unajipigania mwenyewe una baraka zangu kaka ingawa mimi sina imani na sio muhumini kabisa wa chama chenu (C.C.M) ,unaweza ukajenga hoja nzuri na ukawa ni mtendaji mzuri lakini kumbe kamati kuu ilishapitisha majina yake!otherwise wishing u all the best!