wewe mama umenisikitisha sana ,,ndio maana nakuomba kuwa urudi tu kule chit chat , kwani umekuja haoa kumpinga willium ilihali hujui hata kuwa anagimbea na kina nani. nakuomba sana urudi tu kule chit chat ..sasa kama hujatuambia mbadala wa williama kwa nini unampinga? au unafuata tu mkondo wa maji kisa william ni mwana ccm ..hata mimi ni mwana chadema ila sikurupukagi
Kwa wasiomuelewa William ni wa kwanza kushoto katika hii picha.
Kwa hiyo wewe ndo unanikurupusha hivi?
Unataka niseme yale unayotaka wewe?
Kwa hiyo unataka kubadili topik iwe mimi kurudi chit chat?
Hivi vyote vinaonesha ujengaji wako wa hoja na uwezo wako wa kumpigia debe unayemtaka/mwamini.
Kwa vitisho? Kwa kumdegrade mtu? what a shame!
Naona umepitiwa na msemo mdogo tu, "don't judge a book by it's cover"
mimi nilikuwepo kabla yako mama, na JF naijua sana kuliko unavyodhani. kama unampinga william utamsapoti nani sasa? tupe alternative yake basi mama tuyamalize ..kama hujui na unapinga tu kisa william ni ccm basi utakuwa unapigwa mjengo
mimi nilikuwepo kabla yako mama, na JF naijua sana kuliko unavyodhani. kama unampinga william utamsapoti nani sasa? tupe alternative yake basi mama tuyamalize ..kama hujui na unapinga tu kisa william ni ccm basi utakuwa unapigwa mjengo
Ngoja nikupe mfano mdogo.
Kuwa mahali kwa muda mrefu kuna faida kama utaamua kupatumia kwa faida
Kuifahamu jf kabla ya mtu yeyote patakusaidia kama utaamua kujifunza na kufanya upembuzi wa hoja
Kusema tu unaifahamu jf haitoshi.
Ni wakuja wangapi hapa Dar wa-run town na wazawa wa hapa wako pale pale.
Unawasikia tu nimekulia sea view lakini maisha hayajabadilika??
Open your eyes na badili shock absober zako.
what a shame.....kongosho hujajibu swali langu. ok hatumtaki william. tumpe nani? swali nimelirahisisha
ok, let go on ..jibu swali nililokuuliza acha kupiga soga
Samahani. Ni mjengo wa chini au mjengo wa juu?
Tunakutakia mafanikio mema, jiamini kujieleza naona hizo sera zako zina mashiko ukizisimamia na kujieleza vizuri. Tatizo na wasiwasi wangu ni kwa hicho chama chako CCM usijekushangaa tayari kuna watu washamwaga pesa na matusi wewe unakuwa huna chako.
Badilikeni jamani chama lenu linakufa hilo. Other wise kila la heri mkuu.
Hivi umeielewa hii mada??
Angetaka tuwajadili wagombea wenzake angewaweka hapa.
Kama una hamu tuwajadili na wao, anzisha sredi yao.
Jibu langu kwa mada hii liko wazi
Huyu hatufai.
- Mkuu nimekusikia, isipokuwa naomba ukaangalie tena kumbu kumbu zako kuhusu majina ya wagombea waliopo sasa maana huenda hauko current, Millya is my friend and I respect as a humanbeing na mkuu uwe na siku njema sana!
- Otherwise sidhani kama wewe unaandika hapa kutokana na siasa za baba na mama yako unless kuna something I am missing hapo kwenye hoja zako!
William.
Naona unampa desa la interview...Wewe W.J. Malecela vipi? this is a home of GTs. Badala ya kuomba NONDO wewe unaomba SALA, kwani unakwenda kugombea upadri, ukasisi, ushehe, uchungaji?
Mwenzako (CCM) aliwahi kuulizwa kirefu cha SADC na Tundu Lissu akapiga chini. Anyway kwakuwa huko ni CCM wenzako policy inayo aplly ni WHO KNOWS YOU and HOW MUCH UMEHONGA. Lakini kwakuwa manakwenda kuwakilisha Tanzania first yopu have to know the MISSION and VISION of EAC? What are the stand of Tz GOVT kwenye masuala kama common currency, Ardhi, common market, free labour movements visa vi other members States. Organogram of EAC how it functions kufikia mamuzi etc, SWOT of EAC
Hayo ni mambo machache ambayo inabidi uyafahamu kabla hujaingia kwenye intreview