Walirenew marriage, Halaf hakuna raha kama kumtongoza waifu wako bila kujuana
Kama ni ya offer yoyote tu naskumakloro - unatumia beer gani?
kwa huo ugonjwa wako anatakiwa awe karibu sana akupe faraja,mana mshtuko ni jambo nzito sana
Sasa si umbembeleze shemeji baada ya mstuko ulosababisha overadrenalin induction yaani nywele zote zimesmama kwa uoga
shemeji unapenda unapenda unapenda unapenda unapendaaaaa....
lol,we hutawaza huko,utadhani ni mpango wa mungu,kumbe ni mtego
umefeli math nini wewe? hilo sentensi lako lote ilikuwa uandike,
shemeji (unapenda ) 5
Inabidi nilog out nikapate parasitamol sugar coated.Hapo anatakiwa atoe first aid kit na huduma za ziada tena kwa umakini
hehehe sawa bana! hela yangu ya cafe imeisha mzembe kanisimamia balaa inabidi nilog out.mwalimu wangu wa hesabu alikuwa mzembe. Hakufundisha hiyo topic.
Halafu sounds nazo zikafanana?duh
Deskmate anaumwa?Kweli ni mhimu sana mana afya isije ikadhoofika
hehehe sawa bana! hela yangu ya cafe imeisha mzembe kanisimamia balaa inabidi nilog out.