klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
hehehehehe! Likes zote uniforwadie kuleeee. Mbona umefurahi kupewa cheo kipya? Umeshakijua?
Chochote bana poa tu lakini hiki cha ushemeji kinanizibia kinoma
hehehehehe! Likes zote uniforwadie kuleeee. Mbona umefurahi kupewa cheo kipya? Umeshakijua?
aaah mi kweli Sir God amewakutanisha tena,hata mimi ningegomba hata ila love lazima iwe maradufu bhana mana nishajua
bila kuwa makini wife wangu watamkwapua.
Hahahaha nipo serious bhana we hii ishu ipo we unadhani ndoa yangu itaweza kudumu tena?
[/COLOR]
Chochote bana poa tu lakini hiki cha ushemeji kinanizibia kinoma
hahahaha! Shemeji mubaya wewe. Nitakusemea ujue.
heheeh shemeji hutaniwi?
Afadhali mimi,yeye katumia ID mpya,mi kumpima zaidi nikaenda mpya,mpya na mpya sikagongana kumbe yeye alishagundua mpya yangu ila mi sikugundua yake,msala unaonaje?
Afadhali mimi,yeye katumia ID mpya,mi kumpima zaidi nikaenda mpya,mpya na mpya sikagongana kumbe yeye alishagundua mpya yangu ila mi sikugundua yake,msala unaonaje?
Kitakachotokea:
Prezidaa wa kitaa: (Anamsogelea mkewe na kumuuliza kwa ukali hivi lakini kwa sauti ya chini) We umefata nini huku?
Beib lovee: Khaak jamani, kwa siku moja moja hairuhusiwi?
Prezidaa wa kitaa: Hebu twende nyumbani uko.
Wanatoka huku prezidaa wa kitaa haishi kupepesa pepesa macho nyuma!
lol,we hutawaza huko,utadhani ni mpango wa mungu,kumbe ni mtego
heheheeh senks for ze secrethahaha! Mi ndo maana ID mpya ikinipm naipotezea mbali.
heheheeh senks for ze secret
tumeshagongana eneo la kukutana ila mpaka sasa nakomalia kuwa mwenye hiyo ID uliyemake naye appointment simfahamu na siohehehe huu ni msala mpya. Dah!
Sasa si umbembeleze shemeji baada ya mstuko ulosababisha overadrenalin induction yaani nywele zote zimesmama kwa uogabasi shemeji, usiogope eeh!
tumeshagongana eneo la kukutana ila mpaka sasa nakomalia kuwa mwenye hiyo ID uliyemake naye appointment simfahamu na sio
mimi.anakuja juu,nikubali kuwa ndo mimi au mwanaume niwe tu mbishi halafu nimgeuzie msala.