Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,697
- 1,962
vp vyombo vya muziki mmeshapata? Kama vp naomba tenda.
Hata mm nimewaza kitu hichohicho, baada ya mwaka njoo utujuze maendeleo ya ndoa yako. Hongera mwaya.Ina maana miezi sita mshafanya maamuzi mazito hivi, au ndo love at the first site? hongereni sana jf ni kisima cha kila kitu
It's true!ngoja ngoja huumiza matumbo
Hesabu za haraka...... Umejiunga JF tarehe15 juni 2011 ninaamini by mwezi wa saba ukaanza kuchati na mtu humu jamvini by mwezi wa nane mkakubaliana kupeana kampani na hapohapo mkaanza ku-duu bila kondom ambayo inaweza kupelekea uja uzito wa mwezi mmoja sasa assuming mimba iliingia baada ya wiki mbili tatu. Kweli dada yangu upo fasta
ngoja ngoja huumiza matumbo