Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,196
- 113,481
Rabeka NN!!!!
Usinisahau leo kwenye maombi yako. Ni hilo tu!
Rabeka NN!!!!
majini yako kila mahali hamna sehemu salama duniani watu ni hao hao unaeza kumpata hata kanisani kumbe ni jini pia.namshukuru mungu sio jini ni malaika so special sweeeet.marvelous......niliona kwa tv ya tb joshua mtu alipata mke kwenye facebook kumbe ni jini lol sasa wote mnaotafuta wake/waume / bf /gf mnaanhalia vigezio gani jamin mi nataka kujua lol....huruma?tabia mnachunguzana saa ngapi?
Rabeka NN!!!!
unasubiri nn? Anza mapema,au nawe unataka kuzima moto? Ebu nipm bibie tuanze ukurasa wetu mpya
Consider it done! Stay blessed my dear!Usinisahau leo kwenye maombi yako. Ni hilo tu!
Weweeee!
Weweeee!
preta karibu sana
Hesabu za haraka...... Umejiunga JF tarehe15 juni 2011 ninaamini by mwezi wa saba ukaanza kuchati na mtu humu jamvini by mwezi wa nane mkakubaliana kupeana kampani na hapohapo mkaanza ku-duu bila kondom ambayo inaweza kupelekea uja uzito wa mwezi mmoja sasa assuming mimba iliingia baada ya wiki mbili tatu. Kweli dada yangu upo fastaNimepata mwenza hapa jf tunafunga ni mwanaume wa aina yake ndoa tar 28/11/2011
niko na kaujauzito ka mwezi
nashukuru sana jf
nitawatumia kadi baadhi siku ikifika
karibuni sana
ni ushuhuda wa kweli
nakukumbuka dr uliaply sema ndo ivo kumbuka ndoa mume ni mmoja ila na kwenye shindano mshindi huwa ni mmojaulitumia vigezo gani kumchagua huyo...mbona tuliapply wengi tu na hatujajibiwa kitu, tulikuwa tunasubiri tuu interview!
Yakhe vipi tena?
wapo wengi tuu sema wengine vimeoasante mwaya......husninyo amenishinda.......
Badala ya kuuliza kadi ya mchango....
Hongera sana....kila siku nawaambia watu jf kuna wapenzi hawasikii...ona sasa......
what? shwari lakn?
majini yako kila mahali hamna sehemu salama duniani watu ni hao hao unaeza kumpata hata kanisani kumbe ni jini pia.namshukuru mungu sio jini ni malaika so special sweeeet.marvelous......
sina mtoto hapa kila mtu anatumia id aitakayo kumbuka iyo ni id tuHuyo jeri baba yake yuko wapi?
Kama ni mimba, mbona baba jeri alikutosa?
Kama atazaliwa wa kiume, umwite kakajambazi.
mmmh....sikuwezi.....