JF Members

mi thina!! wangu ni wale wa kununua, thijui km wamejiunga jf.
 
Hivi hapa MMU mpo na Mkeo/Mumeo?je mnajitambua mnajijua?kila mmoja wenu anajua ID ya mwenzie?Je ndani simnajimwaya?kwani hapa ni somo tosha!Au kila mmoja kimyakimya?Maana kama mnajuana ID lazima upige kimya,nakama mmoja wenu hajui ID ya mwenzake safi ila kama unajua then ila unajifanya hujui utamsanifu sana akirudi home!

huu wasiwasi unasababishwa na nini? Is JF a criminal thing hata muwe mnafichana?
 
Back
Top Bottom