@Preta Unamaanisha Ninapo ku pm ananisoma?situmi tena!Unatabia mbaya lol!
watakuwemo tu humu si unajua wanachacharika na soko everywheremi thina!! wangu ni wale wa kununua, thijui km wamejiunga jf.
hahahahaha....... wanakaba mpk humu du!<font size="3">watakuwemo tu humu si unajua wanachacharika na soko everywhere</font>
Hivi hapa MMU mpo na Mkeo/Mumeo?je mnajitambua mnajijua?kila mmoja wenu anajua ID ya mwenzie?Je ndani simnajimwaya?kwani hapa ni somo tosha!Au kila mmoja kimyakimya?Maana kama mnajuana ID lazima upige kimya,nakama mmoja wenu hajui ID ya mwenzake safi ila kama unajua then ila unajifanya hujui utamsanifu sana akirudi home!