- Thread starter
- #81
mm nipo kijijini sana sidhan hata kama kuna mwanajf huku nilipo.Lete kituo popote ulipo! Wengine tunajuana mpaka familia wamekuwa kama watoto wa baba,mama mmoja!
mm nipo kijijini sana sidhan hata kama kuna mwanajf huku nilipo.Lete kituo popote ulipo! Wengine tunajuana mpaka familia wamekuwa kama watoto wa baba,mama mmoja!
mambo Asha? Twajuana ati kiroho,au?msalamie Lizzy mwambie nammisooo!!! Mwambie ka vipi tuoane,nimechoka na wake za watu mie!Dah! Queen kami..... Umewaza nini dear? Ujumbe wako umenigusa na kunifanya nimkumbuke ODM (for ndie alie tutaarifu msiba wa Chetundu).
Hapa JF tunaweza tusijuane but tumejenga bonds na some of the members.... Uraiani twaonana na watu wengi na tumejenga mahusiano mpaka (atleast to me) napenda the anonymity ya hapa JF, wawasiliana na watu vizuri kabisa na you can feel wawajua hali you don't know them.... sometimes it makes it so perfect sababu inakua kama "Alice's wonder land" .... What I am saying hapa ni kua in reality hatujuani... but naamini member ambae nawasiliana nae kwa karibu aweza niuma kama vile namjua.... Na kumbuka na wenzetu wengine wana bahati na wajuana....
Nimependa Thread yako.... Naungana na wewe.... "Wa innalilaah wa innallilah rajun" Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema awarehemu wale woote walotangulia mbele ya haki. Ameen.
Mi nikikaribia kuondoka ntawajulisha.
RIP kwa waliotangulia.
Ameen,ahsante AD.Dahhhhh
Imenibidi niruke comment za watu siwezi kusoma zote, inanitia machungu sana..
Hii thread kwa kweli inanihuzunisha sana. asante sana kwa alieanzisha thread binafsi
sipendi kufikiria kuhusu kifo bali kujiiandaa tu..
2011 ulikuwa mwaka wa huzuni kwangu kwa kweli nimepoteza marafiki wawili
moja wa kike mwingine wa kiume. (ninapoishi) .. huzuni zaidi baada ya kupata taarifa
za mwanajamvi mwenzetu Chentutu.. na Kijana Abbasi .. Kwa kweli binadamu tu mavumbi tu..
I'm just praying mwaka huu utakuwa tofauti..
Sisi wengine tukifa itakuwa vigumu sana kwa watu kujua humu.
PAW akitutoka naamini taarifa zitafika kwenu hakika, na wengine sherehe...
Ama kwa hakika inatia huzuni kubwa kwa wenzetu waliotutangulia mbele za haki. Mungu awapumzishe sehemu salama Amin
JF ni zaidi ya familia.
badi sijaelewa ulivyomjua.Ila pole kwa kupoteza rafiki.
Waliotangulia tuwakumbuke na kuondoka kwao iwe ni mawaidha kwetu tuliobaki.
kuna member nilikua nawapenda sana siku lkn siku hizi siwaoni,na walionesha sana kuipenda sana JF ndo nikapata mawazo kuwa huwenda wako kama mm na labda wamefariki hivyo hakuna wakutujulisha.Kwa kweli kuna member humu nawapenda sana kwa michao na picha niliyojijengea juu yao hivyo japo sijui hata wanafananaje nawezaa kulia nikisia wametutoka.So ni mawazo kama haya ndo yamekua chanzo cha hii thread..
Hapo blue amina.
Kiongozi ! Mz Nyani ! Hii habari inagusa moyo! Hivi leo mimi au wewe, yule, afe and then pasiwepo wa kujua ! Terible ! Wewe kama mmoja wa Super senior member also celebrity hapa Jf unalisemeaje hili ?
Dah! Queen kami..... Umewaza nini dear? Ujumbe wako umenigusa na kunifanya nimkumbuke ODM (for ndie alie tutaarifu msiba wa Chetundu).
Hapa JF tunaweza tusijuane but tumejenga bonds na some of the members.... Uraiani twaonana na watu wengi na tumejenga mahusiano mpaka (atleast to me) napenda the anonymity ya hapa JF, wawasiliana na watu vizuri kabisa na you can feel wawajua hali you don't know them.... sometimes it makes it so perfect sababu inakua kama "Alice's wonder land" .... What I am saying hapa ni kua in reality hatujuani... but naamini member ambae nawasiliana nae kwa karibu aweza niuma kama vile namjua.... Na kumbuka na wenzetu wengine wana bahati na wajuana....
Nimependa Thread yako.... Naungana na wewe.... "Wa innalilaah wa innallilah rajun" Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema awarehemu wale woote walotangulia mbele ya haki. Ameen.