We binti kwanini umebadili jina?loh loh
Ahaaa AshaDii inamaana mimi kilometer zimesogea hivyo??Kama niko hivyo enzi ya way kwa sasa sibalaa!!naona umechukua photoshop!!Hahaha! Poleee Kiranga kumbe ilikuwa siri? are you cheating? :dance:
Hebu wacheki hawa pozi yao... Kama vile hawajawahi piga picha au camera itawameza.... lol
Toka kushoto, Tbag Hatari, kiluwiluwi, Ndinani, Yegomasika, Philipo na KakaKiiza (eti hupigi picha mtandaoni.. Hii umeisahau? Pole weee! hahaha)
hivi kumbe watu huwa hamnioni hapa mjini?? haya angalieni picha mnikariri sawa
hapo ilikuwa zamu yangu ya kutoa mada nilipokutana na wanachitchat pale mnazi mmoja