Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,792
- 3,719
Ukiona nime'mmmhh haya' basi jua yamenishinda.
ok, but ukiulizwa factors for development of capitalism in europe unaelewa? Au cost analysis?
Ukiona nime'mmmhh haya' basi jua yamenishinda.
ok, but ukiulizwa factors for development of capitalism in europe unaelewa? Au cost analysis?
kongosho huku chit chat ndicho mnachofanya? Eeeh bibie maana jana uliniambia ni kuzuri,au nami nianze kuandika kongosho I Love Uuuuu! Limoyo langu limekudondokea wajameni.
kongosho huku chit chat ndicho mnachofanya? Eeeh bibie maana jana uliniambia ni kuzuri,au nami nianze kuandika kongosho I Love Uuuuu! Limoyo langu limekudondokea wajameni.
yaani mnazidi nichanganya sasa mbona unamuita kongosho bibie, inamana mwanamke? KINDA CONFUSING
Ukiona nime'mmmhh haya' basi jua yamenishinda.
andika only if it's true
duh, leo kimwana kaniweka kati
imebidi niwe gentleman nitulie
lakini nshapendwa tena mie na binti hapa.
Mwacheni semenya wa wa2.
MAPROSOO.
Jamani, mbona unataka kuniharibia mapema
acha nibembeleze ntoto.
yaani mnazidi nichanganya sasa mbona unamuita kongosho bibie, inamana mwanamke? KINDA CONFUSING
ya ni mtoto wa kisukuma,very cute,imagine msukuma aliye mweupe. Sema ni haya masomo yetu magumu ya kusoma vitabu vya nelcon ya a level na boarding schools zimemwaribu
he he he
acha kumstua binti wa watu
kilahunja, ujue mwenzio nimemaliza shule enzi za middle shool
usije shangaa, mindevu ya kiutu uzima
ila najitahidi kuwa updated.
hata ku-appreciate ni kubembeleza tu.
middle school unaijua wewe? Naamini huji hata ilikuwa inaanzia darasa la ngapi na kumalizika la ngapi. Acha fix kama upo pale kwenye mdegree
Oh enzi za midle xul, mi ndo wapendaga hao hao..u hit the nail on the head and thanx 4 barking the right tree(kongosho)
he he he
sema naogopa kusema streit
asije kuwa na umri wa binti yangu
siku hizi humu kuna watu wamemaliza fomu foo 2010
ndo kinanitisha hasa