PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Ni kitu nzuri sana hii.
Kuna watu humu majamvini ambao wanaelimisha jamii yetu, na kuifanya JF ipate au ku'maintain mwonekano ilio nao.
Itakuwa ni heshima sana kama watatambuliwa na kundi zima. Hii ni namna ya motivation kwao , na pia kwa wengine inawafanya watamani kufikia hatu a hiyo, na kwa mchakato huo mzima JF inakuwa ni mahala salama sana kuwepo na kubrowse.
Mimi nitapropose soon, nilitaka nianze na literature hii kwanza!
Kuna watu humu majamvini ambao wanaelimisha jamii yetu, na kuifanya JF ipate au ku'maintain mwonekano ilio nao.
Itakuwa ni heshima sana kama watatambuliwa na kundi zima. Hii ni namna ya motivation kwao , na pia kwa wengine inawafanya watamani kufikia hatu a hiyo, na kwa mchakato huo mzima JF inakuwa ni mahala salama sana kuwepo na kubrowse.
Mimi nitapropose soon, nilitaka nianze na literature hii kwanza!