Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ilikuwa ni masaa mawili kuanzia saa 8 mpaka saa 10 kwa muda wa Tanzania. Lakini baada ya kuangalia tatizo kwa karibu tumegundua linaweza kurekebika haraka, tuka-fix kitu ambacho kilikuwa kinasumbuka kwa dakika kama 5 hivi na kisha vingine vinaweza kuendelea kurekebishika wakati mnaendelea na discussions.Lakini unge specify kuwa ni kuanzia saa ngapi hadi saa ngapi,
Naomba nikuulize kidogo, japo samahani mkuu, hivi kazi ngumu hii, wewe unapata faida gani kutokana na discusion zetu? maana naelewa wewe una mahitaji binafsi na inawezekana kuna wanaokutegemea, lakini unalazimika kukaa na kutuongoza sisi bila kwenda kutafuta njuluku?Mkuu ilikuwa ni masaa mawili kuanzia saa 8 mpaka saa 10 kwa muda wa Tanzania. Lakini baada ya kuangalia tatizo kwa karibu tumegundua linaweza kurekebika haraka, tuka-fix kitu ambacho kilikuwa kinasumbuka kwa dakika kama 5 hivi na kisha vingine vinaweza kuendelea kurekebishika wakati mnaendelea na discussions.
Ahsante kwa uelewa
Mkuu soma posts ZOTE mpaka nilipoishia...thx ngoja nikagombane na watoto sasa wale ambao hawajafanya home work(s) zao!
Kumbe wewe ni mwalimu??!thx ngoja nikagombane na watoto sasa wale ambao hawajafanya home work(s) zao!
Uzalendo unamuongoza kutenda haya...............ila kumbuka quid pro co , usije jikuta wewe ndio inakughalimu kuliko muda wa MexenceNaomba nikuulize kidogo, japo samahani mkuu, hivi kazi ngumu hii, wewe unapata faida gani kutokana na discusion zetu? maana naelewa wewe una mahitaji binafsi na inawezekana kuna wanaokutegemea, lakini unalazimika kukaa na kutuongoza sisi bila kwenda kutafuta njuluku?
Mkuu ilikuwa ni masaa mawili kuanzia saa 8 mpaka saa 10 kwa muda wa Tanzania. Lakini baada ya kuangalia tatizo kwa karibu tumegundua linaweza kurekebika haraka, tuka-fix kitu ambacho kilikuwa kinasumbuka kwa dakika kama 5 hivi na kisha vingine vinaweza kuendelea kurekebishika wakati mnaendelea na discussions.
Ahsante kwa uelewa
Tanuru, aaah hiyo si mwake,hapana.Ili kuwaponya walioathirika ifungeni JF kwa angalau miezi mitatu.
We need moderators this 2010, so if ready we will appreciate that.naomba kazi JF
Send us the photo for review: support@jamiiforums.com and I will try to upload the same and be back to you within 5min.Nashindwa upload picha Jamii Fotos
Any help?
viatu vya max ni vikubwa ambavyo inahitaji dedication kweli kweli kuweka mguu ndani. Jisni alivyo bize na anavyoweza kufanya kazi JF kwangu ni mfano bora wa maisha wa kuigwa.naomba kazi JF
Masanio; ulikuwa una-attach file kubwa sana; over 20MB. Napunguza ukubwa wa file hilo kisha nakutumia kwenye email yako.Nashindwa upload picha Jamii Fotos
Any help?
Masanio; ulikuwa una-attach file kubwa sana; over 20MB. Napunguza ukubwa wa file hilo kisha nakutumia kwenye email yako.
Masanio; ulikuwa una-attach file kubwa sana; over 20MB. Napunguza ukubwa wa file hilo kisha nakutumia kwenye email yako.
Wakuu; tuwieni radhi kwa usumbufu uliojitokeza. Ni bora utokee mara moja kisha usababishe ufanisi zaidi. Naamini mtaona performance zaidi.
Meanwhile, kama tulivyosema awali, bado tunapokea maoni yenu juu ya nini kiboreshwe JF. Kuna features mpya zinakuja; members (registered) wataweza kuwa wana-chat mmoja kwa mwingine (kama ilivyo kwenye facebook), bado tunalifanyia kazi. Tunatarajia kuzindua interface mpya ya JF mnamo March Mosi.
Aidha; mwonekano mpya wa JF utaweza kuwarahisishia wengi (hasa waliojisajili) kuweza kupata options za kufanya mengi. Blogs zitawekwa, kwa wale waliokuwa wanatumia blogspot tunaweza kuwasaidia kuhamisha blogs zao kuja kwetu, tunatengeneza daraja (bridge) la kuvusha blogs zao.
Kutokana na kazi tuliyokuwa tunafanya ndio maana kuna downtime inatokea; hii haitachukua zaidi ya wiki mbili, tupo kwenye hatua za mwishomwisho.
Tunawashukuru kwa uvumilivu wenu na ushirikiano wenu