Aisee muzeya, hiyo konekshen nadhani itabidi uwasiliane na Eng. Mhando wa TANESCO..... aongeze pawa!
Hata kabatani ka senks kamefichwa...
Aisee muzeya, hiyo konekshen nadhani itabidi uwasiliane na Eng. Mhando wa TANESCO..... aongeze pawa!
Imebidi ning'oe batan ya Caps Lock kwenye kiibodi yangu, no chance for accidental CAPPING....jamaa kazuia kutumia CAPS.....
Aisee Roya unatafuta BAN kwenye chatruum...watch your capping!
Mkuu kwa sisi tulioishia shule za kata, hapo kwenye red umetuachia pale baraza la mitihani. (I hope sitakula BAN hapo)
Na hii kutufuatilia mpaka huku kwenye ruum, hamtaki wanachama wenu tuoane japo kwa muda? Sasa kwanini mfuatilie kutongozana kwetu?
Anyway, nasikitika kila nikijaribu naambulia ...NOT CONNECTED.....sijui mods hamtaki babu nikagulie kule au ni ushamba wangu....Naendelea kujaribu lakini, mpaka kieleweke (Dont BAN me kwenye chatruum pliiiiiz)
Muache ahangahike kwanza yeye kazoea ukaguzi tu l.o.lBabu download Java kwenye PC yako.
CAPS is strictly prohibited in chat ruum....you have been notified!orait asprin.....hivi hata majina ya watu huturuhusiwi kutumia caps? au ngoja nigugo maana ya caps....
Babu download Java kwenye PC yako.
Imwagie keyboard matone ya VALUU ooppss kumbe wamezuia CAPS dah nimeishasahauCAPS is strictly prohibited in chat ruum....you have been notified!
We mshikiz....JAVA imejaa tele hapa lakini holaaaaaaaaaaaa!
Mi sioni connection ya CAPs na BAN, nipe muongozo muheshimiwa kabla cjala ban!Imebidi ning'oe batan ya Caps Lock kwenye kiibodi yangu, no chance for accidental CAPPING....jamaa kazuia kutumia CAPS.....
Kimey utachezea ban sasa hivi umeambiwa caps haziruhusiwi l.o.lMi sioni connection ya CAPs na BAN, nipe muongozo muheshimiwa kabla cjala ban!
Hapo chacha.. Ivi unaweza Chat na member yoyote hata kama hujamuadd? Nipe muongozo nipo Via mobile!Hivi ni kitu gani ukifanya chatrum unapigwa BAN?????
Hivi ni kitu gani ukifanya chatrum unapigwa BAN?????
Mama wa kwanza hapa unapongeza au unalaumu?thanx Max naona mada zitaanza kukosa wachangia kama ilivyokuwa :coffee::clap2:
Muache ahangahike kwanza yeye kazoea ukaguzi tu l.o.l
Kaka bado nacheki hapa, maana kwanza haungii hivi hivi tu lazima kwanza udownload JAVA kwanza then mengineyo yanafuataHapo chacha.. Ivi unaweza Chat na member yoyote hata kama hujamuadd? Nipe muongozo nipo Via mobile!
Hebu niambie hatua inayofata baada ya hapa......
Aisee mwalimu wangu Gaijin keshajua?
Naomba mumwambieni mkimwona. Hatimaye kilio chetu kimesikilizwa kabla hatujaandamana kama Cairo.
Maxence chagua mjukuu wangu mmoja umpendaye nikukabidhi:clap2::clap2::clap2: