Wakuu nisaidieni kwa mwenye maujanja. Nilikuwa natumia tapatalk kufungulia JF. Ghafla haiwezekani na inaleta msg forum inrestrict au plugin haifanyi kazi. Iphone yangu ni 3gs.
Appreciated!!!Tumelifanyi kazi. Jaribu tena.
Tumelifanyi kazi. Jaribu tena.
Tumelifanyi kazi. Jaribu tena.
Bado haifanyi kazi
Asante sana Mike. Mambo sasa safi!
Appreciated!!!
Tumelifanyi kazi. Jaribu tena.
Mkuu Jana wakati na join jf kupitia Opera Google wakanilazimisha ni install Tapatalk ya Android ili niitumie kwa kuingia JF...Nimekuwa nikituia Tapatalk kwa muda mrefu, lakini siku hizi za karibuni haifunguki. Nime install upya lakini sipati JF. Hata hivyo naweza kusoma forums zingine. Matatizo yakpo hapa JF. Naomba webmaster arekebishe hili.
Mkuu idawa nadhani JF walijiondoa tapatalk baada ya kutengeneza app yao wenyewe kwa vile tapaltalk inahitaji kulipiwa. Kwa sasa nangojea kwa hamu sana ili watengeneze app ya JF ya windows phone 8.Mkuu Jana wakati na join jf kupitia Opera Google wakanilazimisha ni install Tapatalk ya Android ili niitumie kwa kuingia JF...
Lakini kila nikijaribu kutafuta formu ya JF ndani ya Tapatalk siipati.....msaada tafadhali mkuu jinsi ya kuitumia.!!
Mkuu idawa nadhani JF walijiondoa tapatalk baada ya kutengeneza app yao wenyewe kwa vile tapaltalk inahitaji kulipiwa. Kwa sasa nangojea kwa hamu sana ili watengeneze app ya JF ya windows phone 8.
cc Mike McKee