Mizizi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,275
- 391
Jamani mnisamehe, kwani inaniuma sana, leo asubuhi nimeenda ferry nikanunua samaki wangu wa laki nikitegemea watanifikisha mwisho wa mwezi.
Yani nimerudi mida hii samaki wote wameoza, ndani mnanuka, nauliza kulikoni naambiwa umeme ulikatika. Lakini kwa nini tunanyanyasika hivi?
Kama ni mgao si wewe Ngeleja ulisema umeisha? Kama umejirudia mbona hujatoa tangazo la mgao?
Nina hasira sana. Kwa kuwa hapa tz hakuna fidia juu ya hasara za namna hii basi ningeomba jf waruhusu hata kwa issue kama hizi tufidie kwa kuwatukana watu kama hawa.
Yani humu kungeruhusiwa matusi ningemtukana sana Ngeleja
Yani nimerudi mida hii samaki wote wameoza, ndani mnanuka, nauliza kulikoni naambiwa umeme ulikatika. Lakini kwa nini tunanyanyasika hivi?
Kama ni mgao si wewe Ngeleja ulisema umeisha? Kama umejirudia mbona hujatoa tangazo la mgao?
Nina hasira sana. Kwa kuwa hapa tz hakuna fidia juu ya hasara za namna hii basi ningeomba jf waruhusu hata kwa issue kama hizi tufidie kwa kuwatukana watu kama hawa.
Yani humu kungeruhusiwa matusi ningemtukana sana Ngeleja