Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,833
- 155,780
Jamii forums sasa imetanuka sana.
Ina wanachama wengi sana na wale wasio wanachama kwa wingi wamekuwa wakiitembelea tovuti yetu hii iliyotukuka.
Wazo langu ni hili, hapa naona kuna wengi wamekuwa wakisema natafuta mchumba wa kuoa, wengine wamekuwa wakisema wanataka kuolewa na wengine wanatafuta marafiki.
Je kuna ubaya gani ff tukifungua jukwaa la wanaosaka wachumba na marafiki?
Mi nafikiri tutakata kiu ya walio wengi na tutaiingiza jamii forum kwenye maisha ya ndoa takatifu ya watanzania wenzetu ambao watakutana humu jamvini na kuoana kwa ndoa takatifu.
Ina wanachama wengi sana na wale wasio wanachama kwa wingi wamekuwa wakiitembelea tovuti yetu hii iliyotukuka.
Wazo langu ni hili, hapa naona kuna wengi wamekuwa wakisema natafuta mchumba wa kuoa, wengine wamekuwa wakisema wanataka kuolewa na wengine wanatafuta marafiki.
Je kuna ubaya gani ff tukifungua jukwaa la wanaosaka wachumba na marafiki?
Mi nafikiri tutakata kiu ya walio wengi na tutaiingiza jamii forum kwenye maisha ya ndoa takatifu ya watanzania wenzetu ambao watakutana humu jamvini na kuoana kwa ndoa takatifu.