Revolution
JF-Expert Member
- Feb 28, 2008
- 791
- 551
Kuna tetesi kwamba JF inampango wa kuingia mkataba mnono na Bw. Julian Assange. Kwa mujibu wa tetesi hizi wadau wote kama revolution, Ivuga, MM, Maxeme Mello, Invisible, Maria Roza, Paka Jimmy, Husininyo,Jack Beur, Kisaa Kyafo, Mfukunyunzi,Rose1980,El Toro, Jasusi, Teamo,Baba Ubaya,Dena Amsi na wana JF wote watakuwa na uwezo wa kuchangia mada moja kwa moja na kubadilishana mawazo na bwana assange mwenyewe. Jamani hizi tetesi ni tetesi nzuri au mbaya?