Vipi ushapata mchumba?Ukiingia jf sio lazma uchangie kuburudika. Peruz 2 mwanzo mwisho mwenyewe utacheka utannuna utashangaa utasikitika na mwisho utakubali kua jf kiboko! Ngoja nikaendelee kuperuz.
Nimeamua nijbebee mazima....subiri kadi ya mchangoVipi ushapata mchumba?
kiboko anamaanisha kongosho...kiboko unamaanisha fimbo?
Kiboko unamaanisha mnyama?
Kiboko unamaanisha ni mwisho wa maneno?
Bora asiwe kiboko mnyama maana namwogopa sana.
kiboko anamaanisha kongosho...
wamwogopea nini kiboko?
Smile ana taarifa?Nimeamua nijbebee mazima....subiri kadi ya mchango
Lini umekuwa Shy Rose Banji wa Mpoleeeeeeeeeeeeeeeeeeeee?bado.....
Vipi ushapata mchumba?
Taratibu asije akasikia!! hizi mambo huwa tunafanaya kimya kimya, anashangaa tu naanza kumpangia zamuSmile ana taarifa?
Nilivyosema kiboko mnyama sikutaka fafanua zaidi
kuna kiboko mnyama wa porini, hana madhara sana
kuna kiboko mnyama wa nyumbani, huyu huwa mtata sana na ana mauzi makubwa ya kuua taratibu
Smile ana taarifa?
Lini umekuwa Shy Rose Banji wa Mpoleeeeeeeeeeeeeeeeeeeee?