JF Karibuni Tanzania Professionals Network

Nashukuru kwa hili maana nimetumia zaidi ya saa moja kupitia Website na majina yote kuanzia founding member na Members wengine lakini haijanipa muamko hata chembe. Haijanishawishi nijiunge [Vigezo sio tija].

Sasa sijui kama katika Mtandao kama TPN vita za wanaJF zitakubalika... Lazima watu kama Mizozo na Jmushi watatimuliwa tu...

"Even a stopped watch is right twice a day" - LOL . . . .

Mzalendo Mzozo wa Mizozo nashukuru kwa changamoto yako. Inawezekana kuiona TPN katika mtazamo wa saa iliyosimama . . . LOL.

Anyway, sijui kama unaweza kukipima chama kwa maandishi au vitendo. Tutajitahidi kuiboresha hiyo tovuti. Lakini nikuombe msaada wa kama hutajali:

Tusaidie kujua ni namna gani TPN inaweza kukushawishi kupitia katika website. Naahidi tutalifanyia kazi.

Kuhusu Critics, nadhani hao ndiyo wanatakiwa hasa katika kuboresha. TPN ni taasisi na haina mizengwe ya namna yoyote. Kwa hiyo nikuombe ndugu yangu Mizozo na JMushi mje tu TPN. Tayari wako wengi wa namna hiyo.
 
Sanctus,

Nimeipitia website yenu, kuna vitu nimeridhika navyo na kuna baadhi ambavyo bado nina matatizo navyo. Nitazungumzia mambo ambayo bado nina wasiwasi au dukuduku nayo.

1. Mnaposema financial empowerement, kwangu iko too general, ni lengo ambalo kinadharia linawezekana ila tukija katika practice inabidi mjaribu kuweka road map au concept map ya kitu gani hasa mnanuia kufanya.

2.Wealth creation for profesionals pia inakuwa too general, ni kwamba mnaangalia maslahi ya professionals too au focus yenu ni katika kuleta mabadiliko Tanzania ambayo yanaweza kuigwa na hatimaye kuwasaidia either wanachama wenu katika maisha ya kila siku au community ambayo naona mnakuwa mnaitaja mara kwa mara ambayo inakuwa na both wanachama na wasio wanachama?. Mnamaanisha nini hasa katika jambo hili?

3.Website yenu haijakaa ki-professional nyie kama professional manaweza kutafuta idea kutoka kwa professionals namna ya kufanya website yenu iweze kuonekana professional zaidi hii ni pamoja na kuwa na information za muhimu katika page ya kwanza ambazo zinaweza kuelezea ninyi ni akina nani na malengo yenu ni yapi. Information zingine zimefichika, kawaida mtu anafanya uamuzi wa kujiunga na chama au professional body in less than 3 minutes, kama huwezi kupata information za muhimu katika mda huo then mtakuwa mnapoteza wengi ambao wangeweza kuwa wanachama.

4.Mwaka 2050 ni mbali sana, kama mnazungumzia malengo ni vizuri kuwa na short terms na long terms strategies, strategy mliyoweka haimotivate watu kwa sababu inaashiria kwamba mnayo time ya kutosha kufanya au kufikia malengo mnayoyataka.

5.Ada ya uanachama hii ni pamoja na registration na annual fees haijawekwa wazi kuwa ni kiasi gani na inalipwa yote mara moja au installments.

6.Katiba yenu imeweka focus kubwa sana kwa graduates, pia inaruhusu members wengine ambao wanashare vision yenu, hamuoni kuwa mnavyotumia titles za elimu na nchi au vyou wanachama waliposoma mnaweza kuwa-switch off ambao wanaweza kuwa na vision kama zenu ila wakajisikia kuwa wako katika wrong network kwa sababu hawana title after their names? au kujenga matabaka kati ya wale waliosoma nje na wale waliosoma Tanzania?

Finally ningependa kukuhakikishia kuwa nitajiunga na nyie mda si mrefu, nimesave site yenu kwenye my favorites, nitanguliza shukrani zangu kwa majibu yako.
 
Anonymity is what makes JF strong, loud and effective. It has shaken hills, mountains and craters because of this, its where people dare to talk openly and others find to know things openly. Sir Mtsimbe, I appreciate your role but you better find an alternative for your kind of invitation. JF doesn't fit your invitation, most of who brings sensitive cases would not like to be known in anyway, and we must keep this to keep JF strong and loud. It's very easy for someone smart to compare whatever somebody shares or goes mad in TPN and what anonymous member shares or goes mad in JF, this can easly reveal somebody's anonymous ID in JF, you sensitive JF members, be careful.

Mzalendo Akilimtindi, nashukuru tena kwa angalizo. Hili nilishalikubali na si lazima mtu atumie jina lake. Niliamua kutumia jina kamili kwa sababu za wazi ili watu wajue ni nani anayewaalika wasije wakafirkiri pengine hakuna seriousness.

Napenda pia kukuhakikishia kuwa kuna baadhi ya watu ambao wako hapa JF ni wanachama wa TPN, mimi nawajua. Zaidi ya hayo pia toka nimeweka post hii kuna baadhi wameshaniandikia kwa masuala mbalimbali na wengine wamejiunga online. Karibuni sana.
 
Kamanda,

Jambo la mwisho linalosikitisha zaidi, na hii ni kwa nafsi yangu mimi ni WEBSITE yenyewe ya TPN. Ni ya kisaniii mno. Hivi mmeshindwa ku-design a Proffessional looking website mpaka mkaamua kuja na site kama ile. Layout ya Site, na muonekano wake kwa ujumla umeshindwa potray image ya TPN. Na ndio maana watu wengi nina hakika wameishia kufungua page ya kwanza na kufunga hiyo site!

Ntarudi bado naendelea kupembua.

LOL . . .

Mzalendo Mzozo wa Mizozo, nashukuru sana kwa mchango wako. Napenda kutambua jitihada zako za makusudi za kuielewa TPN na kutoa feedback. Najua nia yako ni nzuri na ya kuboresha.

Nitumie fursa hii kuwaomba wadau walio humu JF, kama kuna mtu anyemfahamu mtu au kampuni anyeweza kututengenezea tovuti nzuri of high quality, tafadhali atupatie contacts zake. Tulisha itengeneza tovuti hii ni mara ya pili toka kwa Web Develpers wawili tofauti lakini ni kweli bado hairidhishi.

Tafadhali tusaidiane.
 
Mzalendo Mzozo wa Mizozo, nashukuru sana kwa mchango wako. Napenda kutambua jitihada zako za makusudi za kuielewa TPN na kutoa feedback. Najua nia yako ni nzuri na ya kuboresha.

Nitumie fursa hii kuwaomba wadau walio humu JF, kama kuna mtu anyemfahamu mtu au kampuni anyeweza kututengenezea tovuti nzuri of high quality, tafadhali atupatie contacts zake. Tulisha itengeneza tovuti hii ni mara ya pili toka kwa Web Develpers wawili tofauti lakini ni kweli bado hairidhishi.

Tafadhali tusaidiane.

Sanctus,

Nitakutumia Jina la mtu anayeweza kuwatengenezea site nzuri, ngoja nim-contact kwanza ili anipe link za site alizotengeneza uziangalia kwanza!
 
Niliwahi kusoma hilo Tangazo la TPN, ila nilipoangalia muudo wa network yenyewe sikuridhika nayo. Katika dunia hii ya leo huwezi kuweka professionals wote katika nyumba moja ukatagemea la maana. Hebu kalisha pamoja professional wa hair style, professional wa boxing, professional wa kutibu magonjwa ya pua, professional dancer, professional wa kuendesha matreni, professional wa kutunza hesabu za fedha, professional wa kusanifu mitambo; unadhani wataongea nini.

Nadhani mlikuwa na maana ya professionals wenye digrii lakini pia bado haina maana yoyote; ninaiona hii TPN kama ni NGO fulani.

Mzalendo Kichuguu, napenda kukuhakikishia kuwa muundo wa TPN mpaka sasa unafanya kazi vizuri. Tunafanya kazi vizuri sana na baadhi ya vyama vya Kitaaluma kwani viongozi wao ni wanachama wa TPN. TPN yenyewe inashughulika na masuala ya kuwa Empower Financial Wanataaluma bila kujali fani zao. Na kama kuna Cross-Cutting issue ambayo haiwezi kushughulikiwa na taaluma moja au inahitaji juhudi za taaluma zote (mf. Ukimwi kwa wanataaluma) basi TPN inaishughulikia bila muingiliano wowote.

Tafadhali kama una mawazo yoyote ya kuboresha tujulishe.

Ni kweli kufuatana na sheria za Nchi yetu TPN ni NGO na imeandikishwa kisheria. Pengine kama ulikuwa na maana tofauti, tafadhali nielimishe.
 
"Even a stopped watch is right twice a day" - LOL . . . .

Mzalendo Mzozo wa Mizozo nashukuru kwa changamoto yako. Inawezekana kuiona TPN katika mtazamo wa saa iliyosimama . . . LOL.

Anyway, sijui kama unaweza kukipima chama kwa maandishi au vitendo. Tutajitahidi kuiboresha hiyo tovuti. Lakini nikuombe msaada wa kama hutajali:

Tusaidie kujua ni namna gani TPN inaweza kukushawishi kupitia katika website. Naahidi tutalifanyia kazi.

Kuhusu Critics, nadhani hao ndiyo wanatakiwa hasa katika kuboresha. TPN ni taasisi na haina mizengwe ya namna yoyote. Kwa hiyo nikuombe ndugu yangu Mizozo na JMushi mje tu TPN. Tayari wako wengi wa namna hiyo.

Nimefurahi kwa hili.

Na ndio maana katika post zangu kama culiangalia nilikuambia ya kwamba nimedownload almost kila kitu katika site ya TPN maana nataka kusoma na kuelewa na yale mapungufu ambayo nadhani ntawa nimeyaona nina hakika kabisa utanisaidia na kunifanya nikaelewa na kufanya mimi na wewe twende sawa.

Mpaka sasa nasoma na nahitaji kupata msukumo kutokana na yale ambayo nayatazama na kuyafikiria kwa fikra zangu mimi, kisha Mh Rais wa TPN utanisaidia kuboresha Fikra zangu butu juu ya Malengo ya TPN!

Nina uhakika TPN haiwezi kuwa saa iliyosimama...tofauti na Asasi nyengine zisizo za Kiserikali natumaini ya kwamba kuna Mwanga at the end of the Tunnel maana mpaka sasa ninaendelea kuwa katika kiza husiana na TPN. Nikikamilisha which i hope itawa mapema sana ntawasiliana na wewe official ili unifafanulie zaidi. Na natumaini ya kwamba one to one, eye to eye itawa informative zaidi.

One last thing ni kwamba, Katiba zinatoa muongozo katika asasi zote, za serikali na zisizo za kiserikali lakini wanao-determine direction ya hizo asasi na namna ambavo zinafanikisha malengo zake na kwa njia zipi ni Viongozi.

Nawakilisha.
 
Naungana mkono na Mtsimbe katika kuomba juhudi za pamoja kuleta maendeleo ya Tanzania. Pia sipingi wazo la kukutanisha wanataaluma wa kada tofauti katika mtandao mmoja, kwani hii husaidia kurahisisha mambo..... Wazo ambalo naona ni gumu kidogo ni lile la kuingia katika mtandao huo wale wafukuaji mambo hodari wa JF.... hawa wanahitaji kubaki hukohuko waliko, vinginevyo future ya JF itakuwa at stake. Nadhani si kila mtu, especially mafisadi na watu wanaofanana na neno hili hufurahia JF, hivyo kwao sehemu ya kwanza kwenda kujua who is who in those hot issues za JF itakuwa katika mitandao kama hiyo. Angalizo lingine ni kwa wana TNP kuboresha site yenu, kwani wenyewe mmesema kuna wanataaluma mbalimbali, pia muwe na objectives ambazo ziko specific. ni hayo tu!
 
Binafsi mimi si mwanachama wa chama chochote.
Lakini viongozi wengi wa NGO's na serikali huwa wanatamba kwamba huwa hawana uhusiano na vyama vya siasa lakini ikifika wakati wa uchaguzi ni hao hao huwa tunawaona wanakimbia kuchukua fomu za kugombea katika vyama. je hizo kadi za uanachama huwa wamezipata lini?
Utangundua wengi ni wanafiki tu. Ukitaka kujua unafiki wao utasikia wanasema wameombwa na wazee huko majimboni. Ebo hivi wazee wa majimbo ndiyo wanawakilisha mawazo ya jimbo zima?
 
Ndugu Mtsimbe,

Mimi nina swali ambalo ni very serious. TPN inawezaje kuwasaidia wabunifu -- inventors na innovators -- ktk ku-implement ubunifu wao? Kwa mfano, kuna mtu ninayemfahamu ambaye ana inventive idea khs nishati m'badala, lkn hana pesa za kuiendeleza wala kuilipia hataza (patent) wazo lake hilo. Hili likiwa km wazo linaloweza kuleta mabadiliko bora nchini; je, TPN inawezaje kuwasaidia watu km hawa?
 
Ndugu Mtsimbe,

Mimi nina swali ambalo ni very serious. TPN inawezaje kuwasaidia wabunifu -- inventors na innovators -- ktk ku-implement ubunifu wao? Kwa mfano, kuna mtu ninayemfahamu ambaye ana inventive idea khs nishati m'badala, lkn hana pesa za kuiendeleza wala kuilipia hataza (patent) wazo lake hilo. Hili likiwa km wazo linaloweza kuleta mabadiliko bora nchini; je, TPN inawezaje kuwasaidia watu km hawa?

Hata mimi nina rafiki yangu anakipaji kikubwa cha designing mnaweza kumsaidia?he is a great painter and drawer.he designs very good clothes na shoes infact one of his designs Kelly Rowland aliinunua.
 
Wazo zuri, ila bado nina maswali kadhaa.

Kwa hiyo mtu yeyote anaweza kujiunga?

Hizi Missions and Objective zako nyingi na zimetapakaa mno kwa kweli, ni kama vile TPN lacks focus! Ni vigumu kutekeleza mambo yote hayo unayoyasema effectively.

What have you achieved so far?

Who are the stakeholders?

Mzalendo MiratKad, asante kwa kuona kuwa hili wazo la kuunganisha nguvu ni wazo zuri.

Naomba sasa nikujibu maswali yako ya msingi kama ifuatavyo . . . LOL:

Kufuatana na Katiba ya TPN mtu yeyote anaweza kujiunga na TPN ili mradi tu awe na mawazo ya kimaendeleo (Positive Attitude).

What TPN has achieved so far since it was launched in 29th July 2007:

  1. We have been able to register the Network (Registration of TPN)
  2. We have been able to Restructure TPN into Functional Divisions to address effectively the objectives
  3. We have managed to organize one Fund Raising event which assisted us to start operations as well as to pay TPN Staff.
  4. We have been able to formally Recognitione some Professional Entrepreneurs by awarding them and giving them certificates of recognition
  5. We have been able to Set Up TPN Office which is equiped with Furnitures, Internet, Computers etc. We have employed 3 people.
  6. We have managed to Promote, Publicize TPN (Awareness Campaign).
  7. We have been able to register a Domain, Website (still working) and offer Emails ID
  8. We have been able to hold Executive Committee Meetings and Divisional Meetings
  9. We have been able to conduct several Networking and Mentoring Seminar regular on Monthly basis at British Council, once in Arusha and Tanga
  10. Through Business Networking, some members has been able to join forces, raise Capital and establish companies

The stakeholders are: All professionals regardless of their specialization and other Tanzanians as long as they have the positive attitudes. Also Corporate which are interested in furthering the work of TPN.

Here are membership benefits:

  1. 50% susidized fees to the Monthly Mentorship Seminars and
  2. Opportunity for Professional and Business Networking in the regular events
  3. Joint Marketing Campaign for members companies products and services
  4. Joint Wealth Creation Initiatives - We have just finished a framework to Establish TPN Fund
  5. Networking for Job Opportunities for those in need of employment
  6. Networking for Further Career Development for those in need of furher studies
  7. Discussion Forum for Professional and National Key Issues in Networking Events
  8. Funding Options and Guarantees Initiatives for Members Projects from Institution which recognizes TPN. Some offer up to TZS 30 Million as usecured loans to TPN Members.
  9. Networking for Business Establishment and Investment
  10. Umbrella for Air Views for Government Dialogue
and Lobbying

Here are the current and future plans:

  • Drawing Strategic Plan (Short term and Long Term)
  • Creating Professional TPN Fund (progressing)
  • Dialogue with Government and Financial Institutions on Guarantee Options for Members Projects (Ongoing)
  • Online Discussion Forum
  • Establishment of Professionals Network Data Bank (Ongoing)
  • Collaboration with Convocations of Higher Learning Institutions (Ongoing)
  • Wealth Creation Initiatives through Members Collaborations (Happening already)
  • Expanding Membership within and Outside the Country (Progressing)
  • Involving Professionals in Diaspora (Progressing)
  • Making TPN a Trusted and Respected Organization (Hardwork but Progressing)

Tafadhali nijulishe kama kuna kingine zaidi unataka ufafanuzi.
 
Mzalendo MiratKad, asante kwa kuona kuwa hili wazo la kuunganisha nguvu ni wazo zuri.

Naomba sasa nikujibu maswali yako ya msingi kama ifuatavyo . . . LOL:

Kufuatana na Katiba ya TPN mtu yeyote anaweza kujiunga na TPN ili mradi tu awe na mawazo ya kimaendeleo (Positive Attitude).

What TPN has achieved so far since it was launched in 29th July 2007:

  1. We have been able to register the Network (Registration of TPN)
  2. We have been able to Restructure TPN into Functional Divisions to address effectively the objectives
  3. We have managed to organize one Fund Raising event which assisted us to start operations as well as to pay TPN Staff.
  4. We have been able to formally Recognitione some Professional Entrepreneurs by awarding them and giving them certificates of recognition
  5. We have been able to Set Up TPN Office which is equiped with Furnitures, Internet, Computers etc. We have employed 3 people.
  6. We have managed to Promote, Publicize TPN (Awareness Campaign).
  7. We have been able to register a Domain, Website (still working) and offer Emails ID
  8. We have been able to hold Executive Committee Meetings and Divisional Meetings
  9. We have been able to conduct several Networking and Mentoring Seminar regular on Monthly basis at British Council, once in Arusha and Tanga
  10. Through Business Networking, some members has been able to join forces, raise Capital and establish companies
The stakeholders are: All professionals regardless of their specialization and other Tanzanians as long as they have the positive attitudes. Also Corporate which are interested in furthering the work of TPN.

Here are membership benefits:

  1. 50% susidized fees to the Monthly Mentorship Seminars and
  2. Opportunity for Professional and Business Networking in the regular events
  3. Joint Marketing Campaign for members companies products and services
  4. Joint Wealth Creation Initiatives - We have just finished a framework to Establish TPN Fund
  5. Networking for Job Opportunities for those in need of employment
  6. Networking for Further Career Development for those in need of furher studies
  7. Discussion Forum for Professional and National Key Issues in Networking Events
  8. Funding Options and Guarantees Initiatives for Members Projects from Institution which recognizes TPN. Some offer up to TZS 30 Million as usecured loans to TPN Members.
  9. Networking for Business Establishment and Investment
  10. Umbrella for Air Views for Government Dialogue
and Lobbying


Here are the current and future plans:


  • Drawing Strategic Plan (Short term and Long Term)
  • Creating Professional TPN Fund (progressing)
  • Dialogue with Government and Financial Institutions on Guarantee Options for Members Projects (Ongoing)
  • Online Discussion Forum
  • Establishment of Professionals Network Data Bank (Ongoing)
  • Collaboration with Convocations of Higher Learning Institutions (Ongoing)
  • Wealth Creation Initiatives through Members Collaborations (Happening already)
  • Expanding Membership within and Outside the Country (Progressing)
  • Involving Professionals in Diaspora (Progressing)
  • Making TPN a Trusted and Respected Organization (Hardwork but Progressing)
Tafadhali nijulishe kama kuna kingine zaidi unataka ufafanuzi.
Asante kwa maelezo Mazuri..
 
Mzalendo MiratKad, asante kwa kuona kuwa hili wazo la kuunganisha nguvu ni wazo zuri.

Naomba sasa nikujibu maswali yako ya msingi kama ifuatavyo . . . LOL:

Kufuatana na Katiba ya TPN mtu yeyote anaweza kujiunga na TPN ili mradi tu awe na mawazo ya kimaendeleo (Positive Attitude).

What TPN has achieved so far since it was launched in 29th July 2007:

  1. We have been able to register the Network (Registration of TPN)
  2. We have been able to Restructure TPN into Functional Divisions to address effectively the objectives
  3. We have managed to organize one Fund Raising event which assisted us to start operations as well as to pay TPN Staff.
  4. We have been able to formally Recognitione some Professional Entrepreneurs by awarding them and giving them certificates of recognition
  5. We have been able to Set Up TPN Office which is equiped with Furnitures, Internet, Computers etc. We have employed 3 people.
  6. We have managed to Promote, Publicize TPN (Awareness Campaign).
  7. We have been able to register a Domain, Website (still working) and offer Emails ID
  8. We have been able to hold Executive Committee Meetings and Divisional Meetings
  9. We have been able to conduct several Networking and Mentoring Seminar regular on Monthly basis at British Council, once in Arusha and Tanga
  10. Through Business Networking, some members has been able to join forces, raise Capital and establish companies

The stakeholders are: All professionals regardless of their specialization and other Tanzanians as long as they have the positive attitudes. Also Corporate which are interested in furthering the work of TPN.

Here are membership benefits:

  1. 50% susidized fees to the Monthly Mentorship Seminars and
  2. Opportunity for Professional and Business Networking in the regular events
  3. Joint Marketing Campaign for members companies products and services
  4. Joint Wealth Creation Initiatives - We have just finished a framework to Establish TPN Fund
  5. Networking for Job Opportunities for those in need of employment
  6. Networking for Further Career Development for those in need of furher studies
  7. Discussion Forum for Professional and National Key Issues in Networking Events
  8. Funding Options and Guarantees Initiatives for Members Projects from Institution which recognizes TPN. Some offer up to TZS 30 Million as usecured loans to TPN Members.
  9. Networking for Business Establishment and Investment
  10. Umbrella for Air Views for Government Dialogue
and Lobbying

Here are the current and future plans:

  • Drawing Strategic Plan (Short term and Long Term)
  • Creating Professional TPN Fund (progressing)
  • Dialogue with Government and Financial Institutions on Guarantee Options for Members Projects (Ongoing)
  • Online Discussion Forum
  • Establishment of Professionals Network Data Bank (Ongoing)
  • Collaboration with Convocations of Higher Learning Institutions (Ongoing)
  • Wealth Creation Initiatives through Members Collaborations (Happening already)
  • Expanding Membership within and Outside the Country (Progressing)
  • Involving Professionals in Diaspora (Progressing)
  • Making TPN a Trusted and Respected Organization (Hardwork but Progressing)

Tafadhali nijulishe kama kuna kingine zaidi unataka ufafanuzi.

Ahsante. At least now kidogo umeandika kwa hata mtu akisoma kidogo anajua TPN inasimama for what. But mbona mko 'Vague' mno. Malengo ni mengi mno yaani ni kwamba its unclear, kwangu mimi inakuwa ni shida sana kupata Muelekeo kamili wa Mtandao huu.

The way things are going is like TNP is trying to do everything the just like the American way of Shooting, "Firing Enough Bullets and Hoping to Hit the Target" LOL....
 
Bandugu samahani kama nitakuwa nimechelewa ku-comment kwenye mada hii.

Karibu sana Ndg Mtsimbe na tunashukuru kwa ukaribisho wako, however nasikitika kuwa TPN walini-disappoint the first day i tried to contact them/you rather. One might say you or your collegues were busy......but there was no sense of acknowledgement whatsoever............nakumbuka ilikuwa mkijitayarisha na mkutano na professionals (or something like that) pale Dar.......you had posted your agendas and i had my comments sent to you all........well sitaki kusema kwamba ilikuwa ni dharau...........kwa kuwa ilikuwa mara ya kwanza.
........The point is please try to respond to people's comments.........otherwise binafsi baada ya hapo sikuwa hata nataka kusikia chochote kuhusu TPN...............anyhow karibu JF.............na tuelimishane
 
If my understanding is accurate, in trying to be everything to all graduates -labor union, financial institution, professionals club, grassroot pressure group- I have a feeling this organisation will have the effect of diluting whatever it is capable of achieving.

To illustrate, how will TPN effectively assist and organize members of different financial background, disciplines, political affiliation, within different labor markets?

IMHO, TPN will do well to review it's mission and define it's purpose, strategies and operations in fine detail, if possible with case examples to illustrate the abstract into the practical.

The bit about forsaking the comforts of anonymity is at best unwelcome, at least on my part.I am sure a multitude in here subscribe to this ghost culture.I know too much about certain clutching claws capable of catching cavalier cats callously.

Another thing, in view of your guild's distinguished membership eligibility roadblocks, you may want to project a commensurate image, especially where proofreading is at issue

3.1.1 Individuals who is of sound mind

IMHO, the English use "Individuals of sound mind...." or "An Individual of sound mind"

Even "Individuals who are of sound mind..." and/ or "An Individual who is of sound mind" are acceptable, albeit grammatically ugly and uneconomic, to say the least of the absence of any betrayal of Etonian lineage (I doubt it was intended) :).
 
Mzalendo Kichuguu, napenda kukuhakikishia kuwa muundo wa TPN mpaka sasa unafanya kazi vizuri. Tunafanya kazi vizuri sana na baadhi ya vyama vya Kitaaluma kwani viongozi wao ni wanachama wa TPN. TPN yenyewe inashughulika na masuala ya kuwa Empower Financial Wanataaluma bila kujali fani zao. Na kama kuna Cross-Cutting issue ambayo haiwezi kushughulikiwa na taaluma moja au inahitaji juhudi za taaluma zote (mf. Ukimwi kwa wanataaluma) basi TPN inaishughulikia bila muingiliano wowote.

Tafadhali kama una mawazo yoyote ya kuboresha tujulishe.
Ni kweli kufuatana na sheria za Nchi yetu TPN ni NGO na imeandikishwa kisheria. Pengine kama ulikuwa na maana tofauti, tafadhali nielimishe.

Hata sijui namna ya kusaidia ili kuboresha organization kama hiyo. Tatizo lililoko mbele yangu ni pale mnaposema Tanzania Professionals, halafu mnasisitiza kuwa lazima mwanachama awe na elimu ya juu. Mtu kuwa professional siyo lazima awe na digrii, kinachotakiwa ni mafunzo na ujuzi wa profession yake. Kuchoma vyuma (welding) ni profession, Uhunzi ni profession, uashi ni profession, kucheza mpira ni profession, kunengua mziki wa shoo kama wale akina dada wa Twanga pepeta ni profession, kupiga mziki kama wafanyavyo akina banana, ray C, Jay D, Q Chila, TID na wengineo pia ni profession. Je utaiitaje organization yako kuwa Tanzania Professional huku ukiondoa hizo professions nyingine.

Ninachoona hapa ni kuwa mnachukulia professionals kama ni wahandisi, wanasheria, madakatari wa tiba, wahasibu (na wataalamu wengine wa taaluma za bishara) na kadhalika.

Halafu sielewi una maana gani unaposema financial empowerement, je ni kudai walipwe mishahara mizuri au ni kuwatafutia mikopo ile wafanya bishara ziendazo na professions zao?

hata hivyo, asante sana kuwa kupigania maslahi ya professions mbalimbali lakini ni lazima muwe broader katika ku-define professions. Kubagua professions nyingine ndiko kunasababisha zisithaminiwe wakati ni za muhimu sana katika jamii.
 

...Kufuatana na Katiba ya TPN mtu yeyote anaweza kujiunga na TPN ili mradi tu awe na mawazo ya kimaendeleo (Positive Attitude).

The stakeholders are: All professionals regardless of their specialization and other Tanzanians as long as they have the positive attitudes. Also Corporate which are interested in furthering the work of TPN.

Naomba ufafanuzi kabla sijakukurupukia.
 
Mr. Mtsimbe you are handling matters very presidentially in this thread. It seems to me that those who gave you the presidency did no mistake. Keep it up.
 
Sanctus,

Nimeipitia website yenu, kuna vitu nimeridhika navyo na kuna baadhi ambavyo bado nina matatizo navyo. Nitazungumzia mambo ambayo bado nina wasiwasi au dukuduku nayo.

1. Mnaposema financial empowerement, kwangu iko too general, ni lengo ambalo kinadharia linawezekana ila tukija katika practice inabidi mjaribu kuweka road map au concept map ya kitu gani hasa mnanuia kufanya.

2.Wealth creation for profesionals pia inakuwa too general, ni kwamba mnaangalia maslahi ya professionals too au focus yenu ni katika kuleta mabadiliko Tanzania ambayo yanaweza kuigwa na hatimaye kuwasaidia either wanachama wenu katika maisha ya kila siku au community ambayo naona mnakuwa mnaitaja mara kwa mara ambayo inakuwa na both wanachama na wasio wanachama?. Mnamaanisha nini hasa katika jambo hili?

3.Website yenu haijakaa ki-professional nyie kama professional manaweza kutafuta idea kutoka kwa professionals namna ya kufanya website yenu iweze kuonekana professional zaidi hii ni pamoja na kuwa na information za muhimu katika page ya kwanza ambazo zinaweza kuelezea ninyi ni akina nani na malengo yenu ni yapi. Information zingine zimefichika, kawaida mtu anafanya uamuzi wa kujiunga na chama au professional body in less than 3 minutes, kama huwezi kupata information za muhimu katika mda huo then mtakuwa mnapoteza wengi ambao wangeweza kuwa wanachama.

4.Mwaka 2050 ni mbali sana, kama mnazungumzia malengo ni vizuri kuwa na short terms na long terms strategies, strategy mliyoweka haimotivate watu kwa sababu inaashiria kwamba mnayo time ya kutosha kufanya au kufikia malengo mnayoyataka.

5.Ada ya uanachama hii ni pamoja na registration na annual fees haijawekwa wazi kuwa ni kiasi gani na inalipwa yote mara moja au installments.

6.Katiba yenu imeweka focus kubwa sana kwa graduates, pia inaruhusu members wengine ambao wanashare vision yenu, hamuoni kuwa mnavyotumia titles za elimu na nchi au vyou wanachama waliposoma mnaweza kuwa-switch off ambao wanaweza kuwa na vision kama zenu ila wakajisikia kuwa wako katika wrong network kwa sababu hawana title after their names? au kujenga matabaka kati ya wale waliosoma nje na wale waliosoma Tanzania?

Finally ningependa kukuhakikishia kuwa nitajiunga na nyie mda si mrefu, nimesave site yenu kwenye my favorites, nitanguliza shukrani zangu kwa majibu yako.

Mzalendo GM (General Manager??? LOL), nashukuru sana kwa kutenga muda wako na kuandika kwa makini sana mchango wako wa mawazo ndani ya TPN. Nimefarijika sana na napenda nikuahidi kuwa mawazo yako mazuri yatafanyiwa kazi.

Ni kweli kuna mambo yanaweza yakawa hayoko clear sana na kwa maoni ya wengi ni vema kuweka nafasi ya mabadiliko ya kikatiba.

Mfano katika Suala Zima na Financial Empowernment and Wealth Creation, tulikuwa tunaangalia ni jinsi gani ya kulifanikisha hili. Kuna matatizo ya namna tatu yaligunduliwa ambayo yanawakabili Wanataaluma kufanikiwa kipesa au kibiashara:

1. Ujasiliamali - Baadhi ya wanataaluma wengi hawana Elimu ya Ujasiliamali wa Kimaadili. Kwa hili tumeanzisha Seminar Mbalimbali na Workshops ili kuwaelimisha wanataaluma wanaopenda, wote, walio na wasio wanachama na wadau wengineo. Kuna DVD na hat PPT ambazo zinapatikana kwa wale watakaozihitaji.

2. Mitaji - Suala zima la kupata mitaji ya kibiashara lilionekana ni kikwazo hata kwa wale ambao tayari ni wajasiliamali na wana elimu ya ujasiliamali. Kwa hili tuliongea na baadhi ya Mabenki amboyo walitupa offer ya unsecured loan hadi Million 30. Pia wanataaluma wanaweza kuungana na kuchanga mitaji. Tayari kuna baadhi ya vikundi wameunda makampuni na kuchanga mitaji. Latest group wameungana kama 15 na kuchanga Millioni 30 kama mtaji wao kwa ajili ya biaashara yao. Wapo ambao wameungana na kuandika proposals nzuri na wanashughulikia kupata mikopo kupitia security ya pamoja.

3. Masoko - Katika hili kuna ambao hata kama wamefanikiwa katika 1 na 2 hapo juu lakini masoko ya huduma au bidhaa zao ni tatizo. Kwa hili TPN inakuwa kama Market Place kwa ajili ya kuwaunga mkono. Kwa hili tunaweza pia kujifunza sana kutoka kwa ndugu zetu Waasia ambao wao katika jumuiya zao km Jamatini, nk huwa wanasaidiana sana kipesa na kimasoko.

Tumeshuhudia katika Network ya TPN watu wakifahamiana na kufanya biashara. Tunao uwezo na Network kubwa kama tukii-extend katika familia zetu kwa wanaotutegemea. Si hili tu, tunaao watanzania wengi wanaoishi nje ya nchi ambao tunaweza kufanya nao biashara na kutupatia masoko ya uhakika.

Mtazamo wa kwanza wa TPN ni kuwa wanataluma wako katika nafasi nzuri ya kuanzisha maakampuni ambayo yatatoa ajira na kuchangia katika uchumi. Katika kufanya hivyo wote wanataaluma na watanzania kwa ujumla wote watafaidika.

Lakini pia katika sura ya pili TPN pia ni kwa ajili ya watanzania wote wenye mtazamo wa kupenda maendeleo ambao nao wanafit katika maelezo yangu hapo juu. Katika hili TPN inaangalia maaendeleo ya nchi kwa ujumla.

Kuna sheria ya asili ambayo binafsi naamini "Every Human Being is Capitalist at Heart" ni vema kuwawezesha walio katika level ya kufanikiwa kirahisi ili na wao wawasaidie wengine. The whole issue here is a question of Networking.

Kuhusu website yetu, hilo nakubaliana na wewe kuwa ina mapungufu sana na tunaomba msaada na mwongozo kwa wale wenye taarifa ili tuweze kulifanikisha. Tungependa tovuti iwe nzuri na kubeba pia mambo makuu na ya msingi. Please assist on this if u know someone.

Kuhusu vision ya kujenga taifa lenye maarifa ifikapo mwaka 2050. Nakumbuka kulikuwa na mvutano sana katika hoja hii. Wengi walidhani kuwa tuwe na vision ambayo ni realist kuwa achieved na 2050 ikakubalika. Hata hivyo tuko katika process ya kutengeneza Strategic Plan na Road Map kama ulivyoshauri pia. Kama kuna mawazo bora tafadhali tusaidiane.

Kuhusu ada ya uanachama: kabla ya kufikia muafaka wa ada, tulijaribu kufikiria sana na kukubaliana kuwa ni vizuri tuepukane na misaada kila inapowezekana ambayo baadhi huwa na masharti mbalimbali. Kwa kuzingatia hilo tulitaka TPN iwe na uwezo wa kujiendesha na wakati huo huo wanachama walio wengi waweze kuimudu ada zake. Kilichokubaliwa kwa sasa ni kuwa Ada ya Usajili ni TZS 100,000/= na unaweza kuilipa kwa awamu. Lakini pia kuna subscrption Fees ya kila mwezi ya TZS 20,000 ambayo unaweza kuilipa kwa mwezi au kwa mkupuo. Ada hizi hutumika katika kuendesha chama ikiwepo kulipa mishahara, uandaaji wa Workshops nk. Mpaka sasa kwa karibu mwaka mzima TPN imekuwa inajitegemea bila kutegemea msaada katika shughuli zake za kila siku. Katika uandaaji wa Semina wakati mwingine tumekuwa tukipataa sponsors.

Napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wadau na wanachama wa TPN wenye makampuni yao ambao wakati mwingine wamekuwa wakitoa sponsorship katika Networking Events.

Kuhusu focus ya TPN katika katiba: tuliopewa kazi ya kuandikisha TPN tulianza kuliona mapema hili. Huenda tulikuwa na malengo mengi sana ambayo hayakuwa yana-focus kwenye kitu kimoja. Katika AGM inayofuata, tutawashauri wanachama wafanye maabadiliko na kuboresha zaidi. Wenye maoni bora pia mnakaribishwa.

Kuhusu membership, kwa uhakika membership iko open kwa Wanataaluma wote waliopo ndani na nje ya nchi. Na hata sasa tunao wanachama ambao wako nje ya nchi. Nadhani itabidi tuliangalie hili kimaandishi tuliboreshe vipi bila kuleta mkanganyiko.

Mwisho na mimi nakushukuru sana ndugu yaangu GM kwa mchango wako. Napenda kuwahakikishia wote michango yote inayotolewa itafaanyiwa kazi.
 
Back
Top Bottom