Maana kila nikiingia naishia kucheka tuu kwa jinsi member wanavyochangia na kujibiana ktk topic. Kiasi kwamba nashindwa kutoa mchango. Lkn haipiti Siku bila kuingia humu.
ha hahaaaaaaa Dena mbavu zangu bana lol uwiiiiiiiiiiiiiiiiii!!
NimekupataMimi nina stress sana ofisini, sikosi kuingia JF maana huwa nina-overcome stress nyingi na kurudishwa vema kimawazo na kuendelea kulitumikia taifa.
Ila michango ya wadau ni muhimu, msikose kuchangia ingieni kama hivi mnapiga danadana kdg halafu mna-mute.