Ndevu mbili
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 379
- 40
ni kweli maana hapa vichwa vikali umepata elimu ya Uraia na hisi utaonewa tena na police, hutapenda Udini, Siasa za Uongo, chuki za vyama , Ufisadi na uonevu, utatetea wanyonge, kuwakomboa na kuondoa uvumi na ndoto na sera mbovu kama kilimo kwanza, badala ya elimu kwanza, Kasi zaidi ya upandaji vitu holela na ari zaidi ya kuzidisha mafisadi kila kona, asante sana kwa hiyo PHD
Hii nayo ni full-lecture.
Ahsante kwa ushauri .