Umetawaliwa na fikra za kidini. Mpuuzi mkubwa wewe!
Sasa kama umeshasema kuwa JF imempeleka Kawambwa Udom maswali yote haya ya nini?
Vp kuhusiana na hiyo video na wewe kwa akili zako kabisa unaafiki kuwa UDSM pawe pa wakristo na UDOM pa waislamu.Acha kudhalilisha wa UDSM wenzako.
Mwenye busara huwa anapinga au anakubali jambo kwa hoja... Matusi ni dalili ya kuishiwa hoja....We mwanaharamu utaacha lini chuki zako dhidi ya waislam.mindset yako imekulia sehemu ambayo hakuma mwislam hata mmoja,ndo kwanza umewakuta udom,sasa tukiamua waislam wote tuamie udom itakuaje?ha ha ha ha ha ha ha khabith mkubwa wewe
Msomi tumia vizuri usomi wako, acha uchochezi UDOM ni taasisi kubwa wazr wa elimu akija unashangaa nini? NI SAWA NA KUMSHANGAA BWANA SHAMBA KWENDA SHAMBANI. Kumbuka dini zililetwa na wazungu tu wala zisitutenganishe.