LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,168
Jaman wanajamvi kuna njia yoyote yakujitoa au kuzuia sms za JF kwenye e-mail yangu??
Maana zimekuwa kero kwangu mimi huwa siwezi pitisha siku bila kucheki kimejili nini hapa jf lakini chaa jabu nimekuwa natumiwa mi thread kibao kwenye e-mail yangu je? Kuna njia yoyote ya kuweza kuzuia thread hizo??
Naomba msaada wenu wakuu
Maana zimekuwa kero kwangu mimi huwa siwezi pitisha siku bila kucheki kimejili nini hapa jf lakini chaa jabu nimekuwa natumiwa mi thread kibao kwenye e-mail yangu je? Kuna njia yoyote ya kuweza kuzuia thread hizo??
Naomba msaada wenu wakuu