Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
duh nimebaki naduwaa.....huyo dada amejuaje kuwa unataka kuanzisha mahusiano na huyo kaka mpaka akufuate???.......lol pole lakini....mie nahisi ungemtaja humu tumjue...NAME AND SHAME HIM????????????????........kazi kuvizia tu humu hana haya loh,ukute kashawadanganya kibao kwa gia ya ndoa....mmmmmmnh......
Anaitwa bishanga abashaija,halafu huyo aliyenirushia njiwa wangu nahisi ni kongosho.