Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Uangalizi anaupata JFTulale zetu mpenzi...unajua kwa hali uliyonayo kwa sasa unahitaji uangalizi wangu sana!
Uangalizi anaupata JFTulale zetu mpenzi...unajua kwa hali uliyonayo kwa sasa unahitaji uangalizi wangu sana!
hata zilizosababishwa na matukio pesono tunasema? Au matukio ya kitaifa tu.
Tulale zetu mpenzi...unajua kwa hali uliyonayo kwa sasa unahitaji uangalizi wangu sana!
Uangalizi anaupata JF
Teh teh teh,good morning shem!
shem naona uliingia night jana...duh!
Hahahaha!shem rejao kanipa night shift ya milele na mda ule nilikua namstua aje tupeane cha ucku niliona kanogewa na mambo ya humu!
Chezea kitumbua weye,JF itavunja ndoa msipokua makini...duh kwa iyo akatosa cha usiku akahamia Jf?...kweli noma!
Chezea kitumbua weye,
Mbona alikuja fasta tukala tukalala lol!
Mzee mzima Michael Scofield...mbaya wako Tbag tu! Jamaa nilikuwa namkubali sana!