WembeMkali
JF-Expert Member
- Jun 16, 2007
- 282
- 3
Naona wanatingisha kiberiti hapa.Hapa jamboforums si IPPMEDIA au yale magazeti ambayo Rostam Aziz ameyanunua, hapa hoja zinamwagwa na wananchi wanazichambua bila ya kumuogopa mtu yoyote.
Kuwanyamazisha wanaJamboForum au kuwatisha kamwe hakutoondoa mapenzi yao kwa Taifa letu.
Tutaendelea kufichua,kuchunguza,kukemea na kupigania maslahi ya Taifa letu kipenzi mpaka hali ya wananchi wa kawaida itakapolingana na maliasili ya Taifa lao.
-Wembe
Kuwanyamazisha wanaJamboForum au kuwatisha kamwe hakutoondoa mapenzi yao kwa Taifa letu.
Tutaendelea kufichua,kuchunguza,kukemea na kupigania maslahi ya Taifa letu kipenzi mpaka hali ya wananchi wa kawaida itakapolingana na maliasili ya Taifa lao.
-Wembe