JF hamjambo?

usiniambie kwanza sasa hivi ngoje nifike nyumbani kwanza ..face to face
hawa jamaa wawili naona wamenikaribisa kweli kweli..smile saint na erick
Haya basi, karibu nyumbani. Don't take too long
Usiongee na mtu hadi utakapo fika hapa home.
You might want to know that I live with Ambitious.
Nothing between us, we just share the rent.
 
Haya basi, karibu nyumbani. Don't take too long
Usiongee na mtu hadi utakapo fika hapa home.
You might want to know that I live with Ambitious.
Nothing between us, we just share the rent.
Hureeeeee
SI usidanganyike....sikujua km anaishi na mtu...
Lol
 
Haya basi, karibu nyumbani. Don't take too long
Usiongee na mtu hadi utakapo fika hapa home.
You might want to know that I live with Ambitious.
Nothing between us, we just share the rent.

kuna mstari hauonekani vizuri hapo nimeshindwa kuusoma..im on ma way..
 
usiniambie kwanza sasa hivi ngoje nifike nyumbani kwanza ..face to face
hawa jamaa wawili naona wamenikaribisa kweli kweli..smile saint na erick


mkuu, mkono kwa mkono na mguu kwa mguu.... nataka nikamatie hiyo habari!!
 
kuna mstari hauonekani vizuri hapo nimeshindwa kuusoma..im on ma way..


eh ehe hehe hehe heh
image_9.jpg

kimekupata?
 
kuna mstari hauonekani vizuri hapo nimeshindwa kuusoma..im on ma way..
Few days after you left nilipata matatizo na roommates wangu wa kike
So nikaanzisha thread ya kutafuta mtu tuchangie rent ili nihame
Akajitokeza Ambitious. Now we share a house. Sio mbali na pale pa zamani
Ukifika pale nipigie nije kukupokea. Ambitious is an honest guy, don't worry
But we really need to talk. Sitaki @Smilling Saint akwambie kabla yangu
 
Few days after you left nilipata matatizo na roommates wangu wa kike
So nikaanzisha thread ya kutafuta mtu tuchangie rent ili nihame
Akajitokeza Ambitious. Now we share a house. Sio mbali na pale pa zamani
Ukifika pale nipigie nije kukupokea. Ambitious is an honest guy, don't worry
But we really need to talk. Sitaki @Smilling Saint akwambie kabla yangu
Mh......
Nalog Off :doh:
 
Few days after you left nilipata matatizo na roommates wangu wa kike
So nikaanzisha thread ya kutafuta mtu tuchangie rent ili nihame
Akajitokeza Ambitious. Now we share a house. Sio mbali na pale pa zamani
Ukifika pale nipigie nije kukupokea. Ambitious is an honest guy, don't worry
But we really need to talk. Sitaki @Smilling Saint akwambie kabla yangu
nishajua anachotaka kusikia si unaona picha aliyoituma hapo chini



eh ehe hehe hehe heh
image_9.jpg

kimekupata?
 
SI hivi wewe ni Small House au Ambitious?

huyo ambitions sijawahi hata kumuona na ndio nasikia leo..si unajua mimi nilikuwa masomoni...najua sitamkuta atakuwa ameshaondoka kwani hakuna mtu anayependa kwenda kubanana na kina michael jackson na 2 pac...si unajua plan yangu ilikuwa kurudi home baada ya miezi 9..so this is breaking news
 
huyo ambitions sijawahi hata kumuona na ndio nasikia leo..si unajua mimi nilikuwa masomoni...najua sitamkuta atakuwa ameshaondoka kwani hakuna mtu anayependa kwenda kubanana na kina michael jackson na 2 pac...si unajua plan yangu ilikuwa kurudi home baada ya miezi 9..so this is breaking news
Ni Habari Mpasuko ila inauma sana aisee
Yan kushare room na bibie ? :doh:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom