toka kwanza niache niongee na Saint Ivuga bwana,
you are disrupting (kama sio kuchochea kabisa :target
Saint Ivuga, something happened while you were away...
Haya basi, karibu nyumbani. Don't take too longusiniambie kwanza sasa hivi ngoje nifike nyumbani kwanza ..face to face
hawa jamaa wawili naona wamenikaribisa kweli kweli..smile saint na erick
HureeeeeeHaya basi, karibu nyumbani. Don't take too long
Usiongee na mtu hadi utakapo fika hapa home.
You might want to know that I live with Ambitious.
Nothing between us, we just share the rent.
Haya basi, karibu nyumbani. Don't take too long
Usiongee na mtu hadi utakapo fika hapa home.
You might want to know that I live with Ambitious.
Nothing between us, we just share the rent.
usiniambie kwanza sasa hivi ngoje nifike nyumbani kwanza ..face to face
hawa jamaa wawili naona wamenikaribisa kweli kweli..smile saint na erick
kuna mstari hauonekani vizuri hapo nimeshindwa kuusoma..im on ma way..
Few days after you left nilipata matatizo na roommates wangu wa kikekuna mstari hauonekani vizuri hapo nimeshindwa kuusoma..im on ma way..
aa wapii..mimi huwa sichezagi chini ya kiwango kwa hiyo haya mambo kwangu ni ndotoeh ehe hehe hehe heh
kimekupata?
Ivuga, lookt at me, stay focussed. Don't be distracted by anyonengoja nipitie kwenye hili duka manake naona mambo yanazidi kuwa too serious
View attachment 52386
Mh......Few days after you left nilipata matatizo na roommates wangu wa kike
So nikaanzisha thread ya kutafuta mtu tuchangie rent ili nihame
Akajitokeza Ambitious. Now we share a house. Sio mbali na pale pa zamani
Ukifika pale nipigie nije kukupokea. Ambitious is an honest guy, don't worry
But we really need to talk. Sitaki @Smilling Saint akwambie kabla yangu
SI hivi wewe ni Small House au Ambitious?aa wapii..mimi huwa sichezagi chini ya kiwango kwa hiyo haya mambo kwangu ni ndoto
nishajua anachotaka kusikia si unaona picha aliyoituma hapo chiniFew days after you left nilipata matatizo na roommates wangu wa kike
So nikaanzisha thread ya kutafuta mtu tuchangie rent ili nihame
Akajitokeza Ambitious. Now we share a house. Sio mbali na pale pa zamani
Ukifika pale nipigie nije kukupokea. Ambitious is an honest guy, don't worry
But we really need to talk. Sitaki @Smilling Saint akwambie kabla yangu
eh ehe hehe hehe heh
kimekupata?
SI hivi wewe ni Small House au Ambitious?
Hivi kwa nini wanaume mkiambiwa hamtaki kuskia?nishajua anachotaka kusikia si unaona picha aliyoituma hapo chini
Ni Habari Mpasuko ila inauma sana aiseehuyo ambitions sijawahi hata kumuona na ndio nasikia leo..si unajua mimi nilikuwa masomoni...najua sitamkuta atakuwa ameshaondoka kwani hakuna mtu anayependa kwenda kubanana na kina michael jackson na 2 pac...si unajua plan yangu ilikuwa kurudi home baada ya miezi 9..so this is breaking news