Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,402
leo nimeamua kuacknowledge baadhi ya wanamajamvi ambao kwa njia moja au nyingine wamekuwa ni role model wangu tangu nilipoingia jf, ntataja baadhi tu ambao watawakilisha wengine kwenye majukwaa ambayo uwa napitia pitia
1. Science na Tech nampenda kumtaja chief-mkwawa
2. jf photos , natambua uwepo wa Mbuzi Mzee bila kumsahau Boflo
3. jf mmu, hapa uwa kuna mtu anajiita Mtambuzi
4. jf chit-chat kuna pipo kama Bishanga na wengineo
5. jf doctor, hapa siwezi kumuacha kumtaja MziziMkavu
hawa ni baadhi tu, waweza ongeza list
1. Science na Tech nampenda kumtaja chief-mkwawa
2. jf photos , natambua uwepo wa Mbuzi Mzee bila kumsahau Boflo
3. jf mmu, hapa uwa kuna mtu anajiita Mtambuzi
4. jf chit-chat kuna pipo kama Bishanga na wengineo
5. jf doctor, hapa siwezi kumuacha kumtaja MziziMkavu
hawa ni baadhi tu, waweza ongeza list
Last edited by a moderator: