Mchekechoni
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 279
- 19
Ukichanganya News-media zote hapa bongo (magazeti, tv, redio, blogs) haziwezi kufikia JF kwa kuhabarisha umma tena kwa gharama nafuu sana. Kunapotokea matukio muhimu na ya kuamsha hisia za umma, kama tukio la mauaji ya Arusha na hatimaye shughuli za kuaga miili ya marehemu waliopigwa risasi katika viwanja vya NMC, utagundua bila ubishi wowote kwamba JF ni No.1 napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wana-JF wote!