Sipo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 2,139
- 91
Ushauri mwananaThanks man wherever ur usinisahau mimi,
yeyote utakayekutana naye usisahau upo ukimwi,
Soma sana mwana usijali ugumu wa skim,
If am not reachabo napatikana www. yetu jamii,
Sala zidisha na tuombeane mazuri kwa imani.
In God willing tuonane kesho morning
Marefu kwa mapana
Hakika Nguli umenena
Mabaya niyaogope kama kinena
Machungu nisilete kwa tunayependana
Akili na uwezo tumepewa naye Maulana
Tukizitumia kwa hakika hatutobezana
Heshima ikiwepo matamu tutashirikishana