JF Focus: Tathmini ya Utawala wa Rais Kikwete (2005-2012)

Tunaendelea na swali la tisa ambalo litajibiwa pia ndani ya dakika kumi na tano:


  1. Chagua jibu lililo sahihi. Ninategemea jibu litazingatia ukweli halisi wa maisha ya sasa ya Watanzania bila kujali kama Rais metimiza ahadi ya kuwaletea maisha aliyowaahidi au la! Watanzania wanaishi

  • (a) Maisha bora
  • (b) Maisha bomu
  • (c) Bora maisha.
Tafadhali, jibu na kutoa maelezo mafupi.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Tunaendelea na swali la tisa ambalo litajibiwa pia ndani ya dakika kumi na tano:


  1. Chagua jibu lililo sahihi. Ninategemea jibu litazingatia ukweli halisi wa maisha ya sasa ya Watanzania bila kujali kama Rais metimiza ahadi ya kuwaletea maisha aliyowaahidi au la! Watanzania wanaishi

  • (a) Maisha bora
  • (b) Maisha bomu
  • (c) Bora maisha.
Tafadhali, jibu na kutoa maelezo mafupi.

Samahani nimechelewa kujibu kidogo nilipata mgeni wa ghafla (nature).

A) Maisha Bora.

Tena si kwa maneno hata kwa kufundisha:

Kuwawezesha wananchi kiuchumi kupitia mafunzo yanayotolewa katika Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi: Vyuo Vya Maendeleo ya Wananchi vinawapatia wananchi stadi mbalimbali za maisha zinazowawezesha kujiajiri na kuajiriwa na hivyo kuchangia katika vita dhidi ya umaskini. Katika jitihada za kuviwezesha vyuo kufanikisha azma hiyo, wizara imetekeleza yafuatayo;
  • Mwaka 2006/07 Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi vya Chala, Msaginya, Ulembwe, Kiwanda, Tango, Chilala, Muhukuru, Nandembo, Mtawanya, Ifakara, Kilosa, Malampaka, Bariadi, Kihinga, Sikonge, Malya, Gera, Karumo, Msingi na Chisalu vilipatiwa pikipiki 20 (moja kwa kila chuo) ili kupunguza tatizo la usafiri na kufanikisha mafunzo nje ya vyuo.
  • Jumla ya wananchi 114,488 waliopata mafunzo katika vyuo vya maendeleo ya wananchi mwaka 2006 – 2009 kati yao wanawake walikuwa 52,672

Source: Jamii, Jinsia na Watoto | Kikwete 2010
 
Asante kwa jibu lako, na data kamili kuhusu idadi ya watu walio guswa na miradi hiyo. Swali la ufafanuzi:
Imekadiriwa kua leo Tanzania ina wananchi 43,188,000 (source: http://www.nbs.go.tz/pdf/Tanzania_in_Figures2010.pdf). Ikiwahivo tunaweza kua na shaka katika uwezo wa miradi hiyo kuwagusa watanzania wote, hasa tukizingatia muda uliotumika na idadi ya watu walioguswa na miradi hiyo hadi sasa. Ni asilimia ndogo sana ya watanzania walio ona mabadiliko kupitia miradi hiyo.

Unachukuliaje pendekezo za kubadili institutions na system nzima kuliko kuvizia individuals kwa kupitia msaada kwa familia moja mmoja?
 
Tunajaribu kuokoa muda, nataka kuleta swali la kumi ambalo ndilo swali langu la mwisho kabisa kwa Mkuu zomba. baada ya hapa tunaweza kupumzika kwa leo, na kurejea kesho kwa maswali tano toka kwa member. Hii ni kama mkuu Zomba atapendezwa.
 
Asante kwa jibu lako, na data kamili kuhusu idadi ya watu walio guswa na miradi hiyo. Swali la ufafanuzi:
Imekadiriwa kua leo Tanzania ina wananchi 43,188,000 (source: http://www.nbs.go.tz/pdf/Tanzania_in_Figures2010.pdf). Ikiwahivo tunaweza kua na shaka katika uwezo wa miradi hiyo kuwagusa watanzania wote, hasa tukizingatia muda uliotumika na idadi ya watu walioguswa na miradi hiyo hadi sasa. Ni asilimia ndogo sana ya watanzania walio ona mabadiliko kupitia miradi hiyo.

Unachukuliaje pendekezo za kubadili institutions na system nzima kuliko kuvizia individuals kwa kupitia msaada kwa familia moja mmoja?

Hapana, kuna vigezo vilivyotumika kuwafikia hao unaowaona kuwa wachache. Mfano mzuri ukitazama na hizo sehemu zilizoaonishwa. Halafu hiyo niliyokuoneha ni mfano mmoja tu kuna program nyingi sana zinazoendelea, naomba tembelea hapa ujionee mwenyewe baadhi yake: ni wengi sana: Poverty Monitoring

Ni mengi sana, njia moja muhimu ya kunyanyua maisha ya Mtanzania ni kutoa elimu, na ukitazama juu huko utakuta tulivyopiga hatua ndefu sana katika hii miaka 7 ya Kikwete, ni hatua ndefu kuliko wakati wowote ule.
 
Tunajaribu kuokoa muda, nataka kuleta swali la kumi ambalo ndilo swali langu la mwisho kabisa kwa Mkuu zomba. baada ya hapa tunaweza kupumzika kwa leo, na kurejea kesho kwa maswali tano toka kwa member. Hii ni kama mkuu Zomba atapendezwa.

Mimi nipo OK kabisa hata kama tutakesha. Ni mtandao tu wa voda ulikuwa haupatikani ndio ulinifanya nisionekane kwa muda.
 
Asante kwa ufafanuzi wako. kuna swali nzuri la ufafanuzi kule side comment toka kwa mkuu FJM. Swali linahusiana sana na haya tulio zungumza. Pole sana kwa matatizo ya mtandao, ni tumaini langu kwamba sasa tutaendelea bila shida.
 
Last edited by a moderator:
Swali la kumi:

Tunajua kua katiba hairuhusu Rais kugombea uawala mara ya tatu. Ila tuzungumze kidogo kwa lugha ya "je ikitokea", Unafikiri kama Rais kikwete akipewa nafasi ya kugombea tena Urais mwaka 2015 atashinda? Katika kujibu hapa jaribu kukumbuka ahadi zake za 2005 na utekelezaji wa ahadi hizo, kumbuka pia ahadi za 2010 na utekelezaji, zingatia mahitaji ya taifa, halafu jaribu kumlinganisha Rais Kikwete na potential candidates wengine tunao waona hivi sasa, toka chama tawala au upinzani.

Karibu mkuu.
 
Swali la kumi:

Tunajua kua katiba hairuhusu Rais kugombea uawala mara ya tatu. Ila tuzungumze kidogo kwa lugha ya "je ikitokea", Unafikiri kama Rais kikwete akipewa nafasi ya kugombea tena Urais mwaka 2015 atashinda? Katika kujibu hapa jaribu kukumbuka ahadi zake za 2005 na utekelezaji wa ahadi hizo, kumbuka pia ahadi za 2010 na utekelezaji, zingatia mahitaji ya taifa, halafu jaribu kumlinganisha Rais Kikwete na potential candidates wengine tunao waona hivi sasa, toka chama tawala au upinzani.

Karibu mkuu.

"Ikitokea" atashinda tena kwa kishindo. Hivi ni nani katika upinzani kwa sasa au miaka 3 ijayo wa kuchuana na Kikwete? nakuhakikishia hakuna.

Umeongelea ahadi za Kikwete, nakuhakikishia ahadi za Kikwete zote zimetimizwa kwa hatua fulani mpaka sasa. Nilianza na listi ya ahadi iliyobandikwa hapa na Matola nimejibu mbili za mwanzo na kwa ushahidi kabisa kuonesha vipi zimetekelezwa na nakuahidi kila siku zinavyokwenda ntazijibu moja moja kule kwenye side comments kudhihirisha kuwa ahadi za Kikwete ndio sera za CCM na ndio kazi ya Serikali iliyopo madarakani, zinatekelezwa zote kila moja kwa kiwango chake cha utekelezaji lakini hakuna iliyowachwana zile 69 ni kidogo sana, yanayotekelezwa ni mengi sana.

Ingawa kwa upande wangu sishauri itokee na muono wangu Rais yeyote yule asiongoze zaidi ya miaka 8. Ni kazi kubwa sana ile.
 
Last edited by a moderator:
Nimesoma na kuelewa jibu lako ila naomba ufafanuzi: Ahadi kutekelezwa ni tofauti na ahadi kushughulikiwa. Nikirejea jibu lako kuhusiana na ahadi 69, zingine bado zipo kwenye feasibility stage. Ndugu FJM (him again) aliuliza budget zilizo tumika katika kutekeleza ahadi hizo.

Nadhani ni wazi kua ahadi nyingi BADO ZINAFANYIWA UTAFITI AU BADO ZINASHUGHULIKIWA. Kwa mwananchi wa kawaida fesibility stage haimaanishi lolote, wanataka ahadi zitekelezwe kabla ya uchaguzi ujao. Kwa wananchi wanaofatilia zaidi wanaweza kuona Mgombea Rais anaweza kuahidi kitu kabla ya kufanya uchunguzi wa feasibility ya mradi sababu ikitokea feasibility ioneshe kua mradi sio "feasible" kuna hatari ya kuonekana muongo.

Kufatana na machache hayo, unaweza kusema kua kweli wananchi wameridhika na Rais Kikwete na kwamba anabaki kua chaguo la kwanza la watanzania?
 
Nimesoma na kuelewa jibu lako ila naomba ufafanuzi: Ahadi kutekelezwa ni tofauti na ahadi kushughulikiwa. Nikirejea jibu lako kuhusiana na ahadi 69, zingine bado zipo kwenye feasibility stage. Ndugu FJM (him again) aliuliza budget zilizo tumika katika kutekeleza ahadi hizo.

Nadhani ni wazi kua ahadi nyingi BADO ZINAFANYIWA UTAFITI AU BADO ZINASHUGHULIKIWA. Kwa mwananchi wa kawaida fesibility stage haimaanishi lolote, wanataka ahadi zitekelezwe kabla ya uchaguzi ujao. Kwa wananchi wanaofatilia zaidi wanaweza kuona Mgombea Rais anaweza kuahidi kitu kabla ya kufanya uchunguzi wa feasibility ya mradi sababu ikitokea feasibility ioneshe kua mradi sio "feasible" kuna hatari ya kuonekana muongo.

Kufatana na machache hayo, unaweza kusema kua kweli wananchi wameridhika na Rais Kikwete na kwamba anabaki kua chaguo la kwanza la watanzania?
Mwali kutekelezwa na kushughulikiwa ni kitu kinachofanana na kwa muono wangu ni kimoja.

Ukiongolea la feasibility, unauongelea mradi mkubwa kama Reli ya kati ya kisasa, utaifanyanje bila kuwa na feasibility ya uhakika? tunaongelea mabilioni mingi sana na ndio unaanza kutekelezwa na hakuna utalofanya bila feasibilty ya uhakika. Jiulize wa kabla ya Kikwete walikuwa wapi hata hilo hawakufanya!

Mradi wa reli ya kati hauwezi kuonekana sio feasible kwa kuwa huo ni uti wa mgongo wa usafirishaji, especially sasa tunaona Kikwete anavyofunguwa usafirishaji wa Reli, Barabara kuelekea nchi za jirani. Kwa sasa nchi zote za jirani tunaungana kwa barabara za lami swaafi kabisa. Burundi na Rwanda reli yaja, na hiyo ina maana lazima uiboreshe reli yako ya sasa kuwa ya kimataifa na si ya kitaifa. Utaanza wapi bila feasibility ya uhakika?
 
Sasa tunaanza na maswali toka kwa members.

Swali la kumi na moja (toka kwa Mr Rocky na Ngongo):

Kuhusu sheria na utawala, kwa mara ya kwanza Tanzania tumeona ingezeko la mahakimu, majaji, na kupunguwa kwa kesi kwa kiasi kikubwa sana mahakamani.

Je ongezeko hilo linareflect hali halisi ya mahamaka zetu na mlundikano wa kesi? je hao mahakimu na majaji walioongezeka kuna vitendea kazi kuwawezesha kuhimili hali ya nchi yetu? Maana kuna wilaya ambhazo hazina mahakama za mwanzo au hata majengo kuendeshea kesi mbalimbali. Au inabidi hakimu aendeshee kesi zake kwenye ghala (refer Magu)?

Je budget ya kuendesha shughuli za mahakama inatolewa kwa wakati kukidhi uhalisia na mahitaji ya hizo mahakama? Au ni kuongeza tuu majaji na mahakimu bila kujali kama kuna majengo au vitendea kazi kuendesha hizo kesi?

Huenda ukawa umesha jibu hili swali kwenye side comments. Kama ni hivo basi nitakuomba tu unukuu jibu lako na tuendelee na swali la kumi na mbili. Karibu mkuu zomba
 
Last edited by a moderator:
Sasa tunaanza na maswali toka kwa members.

Swali la kumi na moja (toka kwa Mr Rocky na Ngongo):

Kuhusu sheria na utawala, kwa mara ya kwanza Tanzania tumeona ingezeko la mahakimu, majaji, na kupunguwa kwa kesi kwa kiasi kikubwa sana mahakamani.

Je ongezeko hilo linareflect hali halisi ya mahamaka zetu na mlundikano wa kesi? je hao mahakimu na majaji walioongezeka kuna vitendea kazi kuwawezesha kuhimili hali ya nchi yetu? Maana kuna wilaya ambhazo hazina mahakama za mwanzo au hata majengo kuendeshea kesi mbalimbali. Au inabidi hakimu aendeshee kesi zake kwenye ghala (refer Magu)?

Je budget ya kuendesha shughuli za mahakama inatolewa kwa wakati kukidhi uhalisia na mahitaji ya hizo mahakama? Au ni kuongeza tuu majaji na mahakimu bila kujali kama kuna majengo au vitendea kazi kuendesha hizo kesi?

Huenda ukawa umesha jibu hili swali kwenye side comments. Kama ni hivo basi nitakuomba tu unukuu jibu lako na tuendelee na swali la kumi na mbili. Karibu mkuu zomba

Tatizo la mahakama lilikuwa kubwa sana kabla ya ujio wa Kikwete, tumeona jitihada za dhati kabisa zinazofanyika, katika kuboresha mfumo mzima wa mahakama si tu kwa kuongeza mahakama na mahakimu bali hata kwa kubuni njia mbadala za kuwasilisha na kusikiliza kesi mahakamani. Tumeona kwa mara ya kwanza wakati wa Kikwete kukianzishwa ofisi za DPP ikiwa ni mfumo mpya wa kuwasilisha kesi mahakamani yote katika juhudi ya kutatua wimbi la kesi na ucheleweshwaji.

Kwa mara ya kwanza tumeona mahakama ikiingia kwenye dunia ya dot com, yote hii katika kuboresha shughuli za kimahakama na upatikanaji wa ufumbuzi wa kesi zetu kwa wakati muafaka soma zaidi: JUDICIARY OF TANZANIA GOES DIGITAL

Tumeona kwa mara ya kwanza katika historia ya mahakama za Tanzania kuwekwa "deadline" za baadhi ya kesi. Hii ni hatua kubwa sana.

Pia tumeona Mahakama ya kadhi iliyoondolewa na Nyerere ikirudishwa tena na Kikwete, yote hii katika kuboresha upatikanaji wa sheria bila manung'uniko.

Kwa mara ya kwanza tumeona hata maisha ya mahabusu yakiboreshwa kwa Rais mwenyewe kutembelea jela na mahabusu kujionea mambo yalivyo na mara baada ya kutembelea huko, chakula kimeboresha, usafiri wa wafungwa umeboreshwa, makazi ya wafungwa yameboreshwa. Kikwete ameweka rekodi nyingine hapo, sijawahi kusikia Rais yeyote wa kabla yake akifanya ziara ya ukaguzi jela na mahabusu.

Hakuna asiyekubali kuwa mahakama zimeboreshwa sana na ni ukweli kuwa hazijafikia ubora wa kiwango cha juu lakini kila dalili zinaonesha tunaelekea huko kwa kasi zaidi, ari zadi na nguvu zaidi.
 
Asante kwa jibu hilo.

Swali letu la kumi na moja linatoka kwa Ngongo na Kibanga Ampiga Mkoloni na linahusu muswada wa NSSF:
Qn;
Ujenzi wa UDOM umekomba fedha za NSSF na kusabisha shirika hilo matatizo makubwa ya cash flow na hatimaye sisi wanachama wa NSSF tunalazimika kulipwa fedha zetu tutakapofikisha miaka 60 haijalishi umefukuzwa kazi ukiwa na miaka 20 au 30 !.

[1] Inafahamika wazi ajira za sekta binafsi hazina usalama mtu unafanyakazi miaka yako sita au kumi unatambaa au unakimbizwa.

[2] Umri wa kuishi mTanzania ni chini ya miaka 50

[3] Maamuzi ya ujenzi wa Udom na Daraja la kigamboni wanachama wa NSSF na PPF hawakushirikishwa.

zomba huoni Kikwete na serekali yake wanastahili kushtakiwa kwa kutuweka sisi wanacha wa hiyo mifuko ya hifadhi ya jamii katika hali ya ngumu kwa nia ya kujipatia ujiko wa kisiasa ?.Katiba mpya kipengele cha kumshitaki Rais anayechezea uhai wa wananchi wake kiwekwe.
 
Last edited by a moderator:
Asante kwa jibu hilo.

Swali letu la kumi na moja linatoka kwa Ngongo na Kibanga Ampiga Mkoloni na linahusu muswada wa NSSF:
Qn;
Ujenzi wa UDOM umekomba fedha za NSSF na kusabisha shirika hilo matatizo makubwa ya cash flow na hatimaye sisi wanachama wa NSSF tunalazimika kulipwa fedha zetu tutakapofikisha miaka 60 haijalishi umefukuzwa kazi ukiwa na miaka 20 au 30 !.

[1] Inafahamika wazi ajira za sekta binafsi hazina usalama mtu unafanyakazi miaka yako sita au kumi unatambaa au unakimbizwa.

[2] Umri wa kuishi mTanzania ni chini ya miaka 50

[3] Maamuzi ya ujenzi wa Udom na Daraja la kigamboni wanachama wa NSSF na PPF hawakushirikishwa.

zomba huoni Kikwete na serekali yake wanastahili kushtakiwa kwa kutuweka sisi wanacha wa hiyo mifuko ya hifadhi ya jamii katika hali ya ngumu kwa nia ya kujipatia ujiko wa kisiasa ?.Katiba mpya kipengele cha kumshitaki Rais anayechezea uhai wa wananchi wake kiwekwe.

Dhanna nzima ya mfuko wa NSSF ni kumwekea mtu akiba ya baadae kwa kuchangia yeye asilimia fulani na muajiri wake asilimia fulani.

Si vyema kuanza kusema mfumo ni mbaya bila kuziona kanuni zake. Tunatoa tathmini "premature". Ikumbukwe kuwa kabla ya kubadili hii sheria kuna tathmini imefanyika na kuona ni vipi iboreshwe ili hiyo akiba inufaishe zaidi muhusika. Ngoja tuone kanuni kamili inasemaje, tusikurupuke.

Tusihusishe miradi ya maendeleo na hii kanuni. NSSF kukusanya fedha zote hizo bila kuwa na miradi ya maendeleo na kuziwekeza kwa manufaa ya Watanzania itakuwa ni upuuzi wa hali ya juu, na wala hiyo miradi siyo iliyoamuwa hii sheria irekebishwe.

Nasisitiza tungoje tuione sheria na kanuni za NSSF zinasemaje kabla hatuja kurupuka. Nna uhakika kuna mema mengi ndani yake kuliko mabaya.

Kuna tetesi kuwa katika kanuni mpya zitazoambatana na sheria hii, NSSF itaweza kukudhamini kupata mikopo ya riba nafuu sana na manufaa ya mara kumi zaidi ya akiba yako ili kuendeleza wigo wa kumwezesha mwananchi wa kipato cha chini kwa "collateral" ya akiba yake.
 
Dhanna nzima ya mfuko wa NSSF ni kumwekea mtu akiba ya baadae kwa kuchangia yeye asilimia fulani na muajiri wake asilimia fulani.

Si vyema kuanza kusema mfumo ni mbaya bila kuziona kanuni zake. Tunatoa tathmini "premature". Ikumbukwe kuwa kabla ya kubadili hii sheria kuna tathmini imefanyika na kuona ni vipi iboreshwe ili hiyo akiba inufaishe zaidi muhusika. Ngoja tuone kanuni kamili inasemaje, tusikurupuke.

Tusihusishe miradi ya maendeleo na hii kanuni. NSSF kukusanya fedha zote hizo bila kuwa na miradi ya maendeleo na kuziwekeza kwa manufaa ta Watanzania itakuwa ni upuuzi wa hali ya juu, na wala hiyo miradi siyo iliyoamuwa hii sheria irekebishwe.

Nasisitiza tungoje tuione sheria na kanuni za NSSF zinasemaje kabla hatuja kurupuka. Nna uhakika kuna mema mengi ndani yake kuliko mabaya.

Kuna tetesi kuwa katika kanuni mpya zitazoambatana na sheria hii, NSSF itaweza kukudhamini kupata mikopo ya riba nafuu sana na manufaa ya mara kumi zaidi ya akiba yako ili kuendeleza wigo wa kumwezesha mwananchi wa kipato cha chini kwa "collateral" ya akiba yake.
Asante kwa jibu hili. Kuna baadhi ya members na hata watanzania mtaani waliohusisha miradi hiyo na muswada. Wanasema hivo kutokana na Serikali ya Tanzania kushindwa kulipa pesa ya wanachama wa NSSF. Mbaya zaidi, inasemekana kua feasibility ya miradi ya serikali ilionesha dalili zote kua haziwezi kulipa ila serikali ilitumia nguvu zake (official and unofficial) kulazimisha miradi hiyo ipate pesa toka NSSF. Kutokana na serikali kushindwa kuilipa NSSF ndio uamuzi huu wa kusogeza miaka ya kupokea hadi 55 imetokea.
Ila sasa watu wengi wamekua na shaka na uwezo wa wakuu wa NSSF kuchagua miradi gani ikopeshwe na miradi gani ikataliwe. Kwa vile pesa zinazo tumika ni pesa za wanachama, baadhi ya wanachama hao wanapendekeza NSFF iunde utaratibu wa kuwa-consult kabla ya kutumia pesa zao. Unasemaje kuhusu wazo hili la members kuchukuliwa kama shareholders?
 
Asante kwa jibu hili. Kuna baadhi ya members na hata watanzania mtaani waliohusisha miradi hiyo na muswada. Wanasema hivo kutokana na Serikali ya Tanzania kushindwa kulipa pesa ya wanachama wa NSSF. Mbaya zaidi, inasemekana kua feasibility ya miradi ya serikali ilionesha dalili zote kua haziwezi kulipa ila serikali ilitumia nguvu zake (official and unofficial) kulazimisha miradi hiyo ipate pesa toka NSSF. Kutokana na serikali kushindwa kuilipa NSSF ndio uamuzi huu wa kusogeza miaka ya kupokea hadi 55 imetokea.
Ila sasa watu wengi wamekua na shaka na uwezo wa wakuu wa NSSF kuchagua miradi gani ikopeshwe na miradi gani ikataliwe. Kwa vile pesa zinazo tumika ni pesa za wanachama, baadhi ya wanachama hao wanapendekeza NSFF iunde utaratibu wa kuwa-consult kabla ya kutumia pesa zao. Unasemaje kuhusu wazo hili la members kuchukuliwa kama shareholders?

Hayo ni maneno ya mitaani ambayo hayana mshiko kwa sasa, wacha tuone hizo kanuni. NSSF haijaanza kuwekeza kwenye miradi hiyo tu na haitaishia kuwekeza kwenye miradi hiyo tu, sasa hivi inaingia kuwekeza kwenye "energy".

Si unaona contradiction hapo? kama wanaona shirika halina faida vipi watake kuwa shareholders? NSSF inafanya vyema sana ngoja uone kanuni mpya hizo na faida yake halafu uje uwaulize bado wanataka fedha zao kabla ya miaka 55?

Kumbuka faida moja itakuwa huduma ya afya kwa muda wote huo hata kama hufanyi kazi, imagine gharama za afya kwa mtu asiye na kazi, hata kama ni mimi sitoi michango yangu, au nasikia itakuwepo na ya kulipwa kiasi fulani cha pesa kila mwezi wakati hauna kazi bila kuathiri akiba yako, nani hapo atataka aiondoe hiyo akiba? Hizi ni fununu tu. Tusubiri.
 
Swali la kumi na tatu:

Swali hili linatoka kwa mkuu FJM na Mkuu SnowBall na linahusu kilimo. Niliona kwenye side comments kua umeligusia ila sio vibaya ukifafanua kwa undani:

Ukisoma kwa haraka haraka unaweza kupiga vigelegele. But let's look at the numbers, shall we?

1. Pamoja na cosmetic efforts za kupata number 'nzuri' kilimo kinakuwa kwa 5.1% (FY 2010/11). From 2005 -2010 growth rate kwenye agriculture ilikuwa around 4.4% kwa hiyo kuna increament of just 1.1%! Yote tisa, kumi, ukiangalia figures za MKUKUTA, by 2010 mipango inaonesha kuwa kilimo kilitakiwa kikuwe na kufikia 10%. 2011 tuko 5.1%., kwa hiyo tuko off MKUKUTA target.

2. Kilimo kinachangia 25.7% ya GDP. Tanzania's GDP ni USD 23bn. Hivyo 25.7% X 23 = USD 5.29. Sasa, leta figures za watu walio kwenye kilimo, 70-80% ya watanzania (aprox 30m people) wako vijijini na wanajishughulisha na kilimo. Kwa maana hiyo basi, 70-80 ya watazania kupitia shughuli kubwa wanayofanya -kilimo wanachangia only 25.7% ya GDP! Hapa tuna kilimo kwanza? and how much we've spent on this kilimo kwanza? return on investment iko wapi hapa?

3. Tanzania tuna 44 million hectares of land suitable for agriculture, lakini only 23% is utilized. Na pia tuna 29.4 million hectares suitable for irrigation, but 289,245 hectares (1%) ndio ziko under irrigation. Hali ilikuwa hivi 2000, ikawa hivyo 2005 na iko hivyo 2011.

Swali la muhimi kujiuliza hapa, Tanzania tunajenga uchumi gani? agricultural based economy? how? matrekta yako Dar, bank ya wakulima iko Dar, mamlaka za hali hewa wako busy kuwataadharisha wakazi wa Dar kuhusu mvua, eduaction system hainekani kuandaa watoto to take a meaningful part kwenye aina ya uchumi unaoongelewa!

Katika jibu lako uligusia kuchaguliwa kwa Tanzania katika miradi ya kuimarisha usalama wa chakula Africa. Kuchaguliwa huko sio alama ya kwamba Marekani na nchi zingine zimeona potential ipo ila haijachangamkiwa? Tungekua tunajitosheleza au tungekua tuna-fulfill potential tungechaguliwa? Karibu mkuu zomba.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: FJM
Swali la kumi na tatu:

Swali hili linatoka kwa mkuu FJM na Mkuu SnowBall na linahusu kilimo. Niliona kwenye side comments kua umeligusia ila sio vibaya ukifafanua kwa undani:

Ukisoma kwa haraka haraka unaweza kupiga vigelegele. But let's look at the numbers, shall we?

1. Pamoja na cosmetic efforts za kupata number 'nzuri' kilimo kinakuwa kwa 5.1% (FY 2010/11). From 2005 -2010 growth rate kwenye agriculture ilikuwa around 4.4% kwa hiyo kuna increament of just 1.1%! Yote tisa, kumi, ukiangalia figures za MKUKUTA, by 2010 mipango inaonesha kuwa kilimo kilitakiwa kikuwe na kufikia 10%. 2011 tuko 5.1%., kwa hiyo tuko off MKUKUTA target.

.

Agriculture
The sector of agriculture grew by 4.2 percent in 2010 compared to 3.2 percent recorded in 2009. The increase in growth rate was the result of increased production of crops following favourable weather conditions, improved availability of input subsidies and the implementation of Agricultural Sector Development Programme, TAFSIP and SAGCOT, all within the larger framework of Kilimo Kwanza. The growth rate of crop sub-sector increased from 3.4 percent to 4.4 percent as a result of increased production of cereals and cassava. Despite the growth, the relative share of agricultural sector in GDP
declined marginally from 24.6 percent recorded in 2009 to 24.1 percent in 2010; reflecting structural transformation in the economy.

• Food Production

An assessment of food production done in December, 2010 showed that production increased to 12.32 million tonnes including 7.39 tonnes of cereals and 4.92 tonnes of non cereals. This production sufficed the National food requirements of 11.15 tonnes during 2010/2011 and also generated a surplus of 1.18 million tonness. Table 2.2 indicates that performance in food production during the 2010 season was fairly good compared to the previous year.

Export Crops: Traditional Exports
During the year under review, production of most traditional export crops increased. In particular tobacco production increased by 113.5 percent from 60,900 tonnes in 2009 to 130,000 tonnes in 2010. Cashew nuts production increased by 63.2 percent from 74,169 tonnes to 121,070, coffee by 51.4 percent from 40,000 tonnes to 60,575 tonnes, pyrethrum by 50.6 percent, from 3,320 tonnes to 5,000 tonnes and sisal by 32.8 percent from 26,363 tonnes to 35,000 tonnes.

On the other hand cotton experienced a drop in production from 267,004 tonnes to 163,644 tonnes, a drop by 38.7 percent. The main reason for the decline in cotton production was a sharp drop in price in the preceding season which forced some farmers to shift and cultivate other crops. The other reasons included localised droughts in some cotton growing areas especially in western zone between December 2009 and March, 2010 and misconduct of some of the cotton input stockists who issued fake/substandard agro-chemicals through the cotton input subsidy scheme. The loopholes created by uncoordinated input subsidy programme in cotton which resulted into introduction of fake inputs in the market have been dealt with.
Source: Ministry of Agriculture, Food Security and Cooperatives

Soma zaidi: http://www.povertymonitoring.go.tz/WhatisNew/Mair 2010-11.pdf

Utaona hiyo ni hatua kubwa sana uki compare na 2005 wakati Kikwete anachukuwa madaraka. Na hatua kubwa zaidi ukilinganisha na wakati Nyerere anaachia madaraka, tulipokuwa omba omba wa chakula.
 
Swali la kumi na tatu:

Swali hili linatoka kwa mkuu FJM na Mkuu SnowBall na linahusu kilimo. Niliona kwenye side comments kua umeligusia ila sio vibaya ukifafanua kwa undani:


2. Kilimo kinachangia 25.7% ya GDP. Tanzania's GDP ni USD 23bn. Hivyo 25.7% X 23 = USD 5.29. Sasa, leta figures za watu walio kwenye kilimo, 70-80% ya watanzania (aprox 30m people) wako vijijini na wanajishughulisha na kilimo. Kwa maana hiyo basi, 70-80 ya watazania kupitia shughuli kubwa wanayofanya -kilimo wanachangia only 25.7% ya GDP! Hapa tuna kilimo kwanza? and how much we've spent on this kilimo kwanza? return on investment iko wapi hapa?

Kitu unachoshindwa kuelewa ni kuwa pato la mazao ya kilimo ni mtambuka, hizo figures zako ongeza na zile za viwanda vinavyotumia mali ghafi za kilimo utapata kuelewa zaidi mchango wa Kilimo Kwanza kwenye uchumi wa Mtanzania. Usiwe confined kwenye kipato unachokiona kama "direct" figures za mazao yakiuzwa kama "raw materials" pekee, panuka kidogo.

Mfano mdogo tu; Viwanda vikubwa Tanzania pamoja na vya vyakula (Azzam), Beer, Sigara, na kwa viwanda vidogo kama vile vya kusaga na kukoboa vinachangia kwenye pato la taifa directly kutokana na mazao ya mkulima lakini mchango wake wa pato kitaifa utaukuta kwenye viwanda na biashara na si kwenye kilimo. Upo hapo ulipo?

Nadhani huelewi dhanna nzima ya kuongeza viwanda vya kusindika na kuzalisha bidhaa za kilimo kuwa ni moja katika mikakati ya Kilimo Kwanza, Na zaidi ya viwanda, kuna mapato mengine mengi yanayotokana na kilimo lakini mchango wake hauukuti kwenye kilimo, kama usafirishaji wa mazao (transport) na oboreshwaji wa barabara una direct impact katika kilimo kwanza. Hebu kijana panua mawazo kidogo usiwe confined katika kutafuta makosa tu, mara moja moja jaribu kutafuta na mema. Ukibaki katika kutafuta makosa tu hutaliona jema lolote na yapo mengi sana.

Dhanna nzima ya Kilimo Kwanza si kwenye shamba tu. Fikiri, ulime ukose barabara ya kusafirishia mazao utapata faida kweli? au utalima zaidi ukijuwa hata mazao kuyafikisha kwenye masoko yenye faida huwezi kuyafikia? Ulime ukose maghala? ulime ukose soko? ulime ukose walaji iwe wa viwanda au majumbani?

Halafu ROI ya mfumo mzima wa kilimo haitafutwi kama utakavyo wewe, be realistic. Unaongelea investment kama vile hapo paliwekezwa na serikali ndiyo inayolima? kuwa makini kidogo. Serikali inawekeza kwa mkulima kuweza kulima kwa ufanisi na haitegemei yenyewe iwe na direct profit, yaani iwekeze kwenye pembejeo halafu ioneshe faida? ndio utakavyo hivyo?. Faida inakuwa kwenye kipato cha mkulima, kipato cha transporter, kipato cha mfanya biashara, kipato cha mwenye kiwanda, kipato cha clearing agent, kipato cha dalali wa sokoni, na, na, na directly au indirectly.

Baada ya kupata hili darsa dogo la dhanna ya kilimo kwanza, pitia upya "calculations" zako uzirekebishe.

Funguka kidogo, duh, ikiwa Tanzania tuna watu wenye kutaka mambo na figures ziwe kama utakavyo wewe, tunaelekea kubaya.
 
Back
Top Bottom