Roulette
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 5,579
- 5,375
Kwa vile mkuu Zomba ameomba nafasi ya kwenda masjid tunaenda mapumzikoni, tutarejea wote saa moja na nusu East African time (19:30 EAT).
Tutakapo rudi tutaendelea na swali la saba. Asanteni wote.
Tumepigiwa sim na Matola, anaomba mjadala uendelee kesho. Alijitolea kwa kuchangia katika mjadala huu kupitia internet cafe kwa muda wa masaa sita, ila sasa anaona it's getting too late. Kesho asubuhi nitarudi kuwajulisheni muda kamili wa kuendelea mjadala. In the mean time tuendelee kukusanya comment na masuali ya members wote katika thread ya "side comments"