JF Focus: Side Comments: Exclusive Interview with JamiiForums founder - Maxence Melo

Status
Not open for further replies.
SWALI- Kupitia jukwaa la Congrats, tulipendekeza uanzishwaji wa jukwaa la HISTORIA. Pia tulimshirikisha mheshimiwa Invisible na tuliahidiwa litakuja lakini naona linacheleweshwa je? Ni nini kinakwamisha upatikanaji wa jukwaa hilii muhimu?
Ahsante

Mkuu Kichuguu atakupa mrejesho wa tulikofikia. Linafanyiwa kazi...
 
Last edited by a moderator:
Da mkuu Maxence sikujua kama na wewe ni product ya DIT. Mkuu unalijua "Juche" wewe?. Block four ulikaa mitaa ipi, Manzese au Oysterbay. Vipi ulikuwa unatembelea mara kwa mara mitaa ya block two?. He he he!.
 
da mkuu maxence sikujua kama na wewe ni product ya dit. Mkuu unalijua "juche" wewe?. Block four ulikaa mitaa ipi, manzese au oysterbay. Vipi ulikuwa unatembelea mara kwa mara mitaa ya block two?. He he he!.

mkuu swali hili ungewasiliana nae kwa pm! Nionavyo mimi lakini...!!
 
Maxence.JPG


..Hongereni sana Wakuu Mubyazi, Mushi na crew nzima ya JF. Tulikuwa pamoja, tupo pamoja na tutaendelea kuwa pamoja Inshaaaalah.
 
Wakuu AshaDii na Maxence Melo nimeamua kufuta post yangu na kuiedit kwa sababu hoja yangu tayari imejibiwa kwa vitendo, shukrani kwa @maxence na Invisible ahsanteni sana sasa nimefurahi. Ha ha ha ha hah.
 
Last edited by a moderator:
Dah! AshaDii samahani usione kama nalaumu sana niliwasilisha maswali yangu mawili then baada ya muda nikahoji why sijapata majibu? Ukaniambia nisiwe na haraka yanashugulikiwa basi nikapata moyo lakini kipindikile kulikua na comments za interview 6 tu lakini leo tumefika 42 vipi bado mnayashugulikia tu? Au bwana Maxence Melo aliyajibu lakini kwa kua natumia simu majibu sikuweza kuyaona? Au hayajibiki? Au hayana uzito? Ahsante pia nawapongeza interview iko poa sana.


Ipycalypse, ASANTE kwa pongezi... Hii ni dhahiri unafuatilia mjadala kwa ukaribu, inapendeza kwa kweli.... Sikulaumu kwa kukosa simile ya kusubiri mjadala uishe kwa sababu kiukweli mjadala umekuwa overdue.. Ila ndio hivo tena kuna responsibilities pia nje ya jamvi hili. Niseme pole sana kwa usumbufu na pia kwa huo mjadala kuchukua mda mrefu kuliko matarajio. Ratiba yangu na ya Maxence wote zinabana na saa ingine kupishana in moments/time of availability of each one of us. La msingi ni kuwa ya msingi yaulizwe ili tupate yaliyo msingi, na kama unavoona in 2 hours saa ingine tunakuwa tumecover maswali matatu tu, sababu ya uandishi wa kina wa mhojiwa.

Kwa kiasi kikubwa maswali yoote yameulizwa yaliyobaki ni machache mno. Naomba tu wale wote ambao walitoa maswali yao wasiwe wavivu wakusoma maswali yote sababu mpangilio wa maswali haukuzingatia kila post ila kwa kuweka in groups. Hivo unaweza kuta swali moja katika ule mjadala umebeba maswali kadhaa ya members walio uliza; thou katika mode ya yaliyofanana.

Swali lako ni moja ya swali ambalo halijawekwa pale na hatuwezi tena kuliweka sababu lishafanyiwa kazi. Swali ambalo nilikuwa nimekusoma ni kuhusu kuanzisha "Jukwaa la Historia". Hilo Jukwaa tayari lisha kuwa established ikiwa ni sub-forum katika forum ya Siasa. Swali lako kuhusu mambo ya bidhaa za Jamii Forums kama Tshirts and caps bado liko katika ambayo bado kujibiwa.

Sijakuelewa hapo kwenye comments za interview 6 na kufika kwa post 42, kama hutajali nitashukuru ukinielewesha nini unamaanisha.... Pamoja saana.
 
Melo thanx sana kwa ugunduzi wako. JF Home of Great thinkers

Melo your Great lakini usije kubali kununuliwa ,kama ni utajiri Mungu atakujalia tena wahalali,god bless you .cuz of you now Tanzanians we are going to next level .keep up Melo the great
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom