Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,285
- Thread starter
- #41
huyo jamaa 2nashindwana kwnye lugha, naomba uwe mkalimani wangu bathi.
POPOBAWA.
naona unajichekesha sasa, usiniombe ukoo.
Wakati unajisajili JF maelekezo yote yalikuwa yameandikwa kizungu, sijui uliweza aje kujisajili halafu leo ushindwe kumuelewa Consi.
BTW: Mada hapa ni topic yangu ninayotaka kuipeleka fanpage ya FB, naomba maoni yako twaffazal...