Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu kwa kufata mkumbo bana!!!!facebook ina nafasi yake!fb for life!bab kubwa....
Facebook agriiiiiiiiii*"!¥,&'#"*/¥#".........
POPOBAWA.
The value of Facebook to you depends on your friendlist(kind of them) and your own interest.
Only shallow thinkers can dis it. You post them shits, they comment shits.
They never post or comment shits to me, if they doubt the post they always ask me in the camara(chamber), they dont go straight out in the open.
You misbehave, you are given a time to repair yourself, you fail to, you are unfriended or blocked. Rules are this simple.
Son, Im just trying to Cut you loose from those ties.
usiishi kwa mazoea ili kuwafurahisha watu.
Ati kwa vile member wa JF wanadiss FB, basi na wewe mishipa inakutoka ili uprove uGT wako eh?
Baadae nitaeleza namna ya kurutubisha Facebook, ili ikufae maishani.
Mimi sipendi kuishia kulalama tu...
Ha ha ha haaah!! Ni kama anasema "FANYA UONE"
Ha ha haaah!! Nadhani alitangulia kusubiri hilo bandiko na PINGU mkononi..hata mimi mkuu wa Jamvi kanitisha kwa jibu lake
usiishi kwa mazoea ili kuwafurahisha watu.
Ati kwa vile member wa JF wanadiss FB, basi na wewe mishipa inakutoka ili uprove uGT wako eh?
Baadae nitaeleza namna ya kurutubisha Facebook, ili ikufae maishani.
Mimi sipendi kuishia kulalama tu...
Acha kuropoka mkuu, nani anaishi kw mazoea?!! ......mi naongelea ninachokifill moyoni mwangu siyo kufurahisha umati. ngoja nikueleze tu ni kwamba kabla sijajiunga jf nlikua huko fb ila tokea nijiunge jf nimetokea kuichukia sana fb mana naona ni upuuzi 2 ambao upo kule m2 anaweka picha mnaishia kuisifia!!kha. na mimi siyo m2 wa mauzo .......
POPOBAWA.
The value of Facebook to you depends on your friendlist(kind of them) and your own interest.
Only shallow thinkers can dis it. You post them shits, they comment shits.
They never post or comment shits to me, if they doubt the post they always ask me in the camara(chamber), they dont go straight out in the open.
You misbehave, you are given a time to repair yourself, you fail to, you are unfriended or blocked. Rules are this simple.
Son, Im just trying to Cut you loose from those ties.
soma post ya Consigliere hapo juu.
Hao wanaoishia kuweka picha na kusifiana si umewaona kwa vile ni rafiki zako, ama?
Kuna mawili, hutaki kudeal na tatizo, au unafurahisha umati. Kuna watu huwa wanapost vitu vya maana sana FB, ila kama hawako kwenye friendlist yako, huwezi kuwaona.
Thats it!
sijakuelewa lengo lako hapa ni lipi hasa?!!kwa hiyo ww unanilazimisha nikipende ki2 nisichokipenda!!lol
POPOBAWA.
We ndio shalo thinker unae2mia lugha ya kidavid kameruni ili 2kuone umesoma, kumbe unaonekana mshamaba 2.
POPOBAWA.
kumbe ni mambo ya mapenzi? Basi ungesema kuwa hupendi FB, basi. Tatizo umekuja na vijisababu vyako uchwara, maGT ndo tunavipangua kimoja kimoja hapa.
Utamaliza yoote mwenyewe, ulianza na kufurahisha umati,ukaja nafuata mkumbo sahivi mapenzi!! sijui kifuatacho nn? kwani huku hakuna mapenzi?! ......
POPOBAWA.
Here comes another Garbage, ina maana kwako ufahamu wa lugha ndiyo kipimo cha usomi wa mtu?
Kesho utalalamika kuwa tunaendekeza sana tamaduni za kizungu, badala ya kutembeleana kama ilivyo mila ya kiafrika, tunapigiana simu na kutumiana emails.
Sijaona popote ukionyesha tatizo na comments zangu bali lugha.
Nikukumbushe tu, labda kwa kuwa hatujakutana sana mimi na wewe hapa online, kwa kifupi ni kuwa kama ulidhani kuniita mshamba utakuwa umefanikiwa ku attack hisia zangu, umekosea kwani ni kweli kuwa mimi ni 'mshamba tu' hata makazi na shughuli zangu ni shamba, naomba nikushukuru kwa utambuzi wako.
Umedhihirisha u-shallow thinker wako kwa your style of grouping letters (SMS language/typing).
.
mie majibu yangu mafupi mafupi bwana. Hebu malizana kwanza na mwamba hapo juu...