Jamaa hakuwa kazini, Apelekwe India/SA Kwa pesa ya nani?.Chochote kibaya kikimtokea MOI, lazima watawasema madaktari
Bora nusu shari kuliko shari kamili, apelekwe India au SA kutibiwa
Ila ajali yake, na yale alio sema yafanyiwe uchunguzi wa kina...
Get well soon OC CID msimuhukumu kamanda.
''mm sijahusika kabisa na kutekwa kwa Ulimboka. Jamani msinidhuru. Tena cku hyo mm ckuwepo'.. David Mapunda
OC CID Kawe (Mkuu wa Upelelezi) David Mapunda amepata ajali ya gari akiwa amesimama nje ya gari lake (gari lilitokea na kumgonga). Amevunjika pelvis na licha ya jitihada za kukwepa kupelekwa Muhimbili alijikuta anaishia mikononi mwa Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (MOI). Vyanzo vya ndani vya Intelligensia iliyokuhubu vinadokeza kuwa Afande huyo wa polisi amejikuta aki"sema" mengi kuhusiana na "kutokuhusika kwake" na tukio la utekaji nyara, kuteswa na jaribio la mauaji ya Dk Ulimboka.
Kwa mujibu wa "Nzi" ambaye amekuwa akiendesha uchunguzi "mbadala" wa kukusanya intelligensia ya suala hili:
Kumekuwa na doria za kila mara ndani na sehemu mbali mbali za wodi za MOI mpaka staff wamefikia kulalamika juu ya hilo japo maaskari hao wamekuwa wakijibu kwa jeuri kwamba wapo kazini.
Ndugu na jamaa wa afande huyo wamekuwa hawana amani kwa hofu kwamba ma-dr wanaweza kulipiza kile alichofanyiwa mwenzao Dr. Ulimboka. Kumekuwa na maoni mchanganyiko kutokana na kuweweseka kwa afande huyo na kuropoka ovyo. Wapo wanaodai kwamba ''amri ya Ulimboka kukaa zaidi ya masaa matatu katika kituo cha polisi Bunju ni kutokana na order alizotoa afande huyo kwamba akae na asipatiwe matibabu ya haraka''.
Haijulikani kama ajali yake ni tukio lililokusudiwa kumnyamazisha daima au ni ajali ya kawaida.
Ni matumaini yangu madaktari watamtendea kwa kadiri ya uwezo wao wote kuokoa maisha yake.
Wale wote waliokuwa wanatukana madaktari wako wapi?na msiugue,hata upelekwe aga khan,regency wakishindwa utapelekwa muhi2 tu,mtapuputika mmoja mmoja,hivi vita vinaitwa'' NEVER END'' kuna baadhi ya wabunge wanasubiriwa kwa hamu sana pale.
ye haendi india???